Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema anaamini uchaguzi mkuu utakuwa huru ambapo mwenye haki ya kushinda atatangazwa mshindi.
Soma Pia: Amos Makalla: CCM tumejipanga Uchaguzi Mkuu kushinda kwa kishindo
Aidha, Makala amesema kuwa matusi na kejeli sio utamaduni wa CCM huku akikemea nadharia za wanaodhani kuwa uchaguzi huru ni kushindwa kwa chama tawala.
Soma Pia: Amos Makalla: CCM tumejipanga Uchaguzi Mkuu kushinda kwa kishindo
Aidha, Makala amesema kuwa matusi na kejeli sio utamaduni wa CCM huku akikemea nadharia za wanaodhani kuwa uchaguzi huru ni kushindwa kwa chama tawala.