Aidha, Makala amesema kuwa matusi na kejeli sio utamaduni wa CCM huku akikemea nadharia za wanaodhani kuwa uchaguzi huru ni kushindwa kwa chama tawala.
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema anaamini uchaguzi mkuu utakuwa huru ambapo mwenye haki ya kushinda atatangazwa mshindi.
Aidha, Makala amesema kuwa matusi na kejeli sio utamaduni wa CCM huku akikemea nadharia za wanaodhani kuwa uchaguzi huru ni kushindwa kwa chama tawala.
Aidha, Makala amesema kuwa matusi na kejeli sio utamaduni wa CCM huku akikemea nadharia za wanaodhani kuwa uchaguzi huru ni kushindwa kwa chama tawala.