LGE2024 Makalla: Ushindi wa CCM umechangiwa na migogoro ya wapinzani, CCM imeonesha Demokrasia

LGE2024 Makalla: Ushindi wa CCM umechangiwa na migogoro ya wapinzani, CCM imeonesha Demokrasia

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Tumeona ni chama kimoja tu ndio kilikuwa na sintofahamu kidogo kutoka kwao, kwahiyo hapa alikuwa anamaanisha ushindani ulikuwa kwati ya wao na CHADEMA pekee?

====



Katika mkutano wake leo Novemba 29, 2024 Amos Makalla ametoa sababu mbalimbali zilizofanya CCM kupata ushindi mnono kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na jambo moja lililosaidia wao kushinda ni mogogoro inayoendelea kutoka vyama vya upinzani.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Sababu nyingine alizotaja ni pamoja na kujiandaa vizuri kwa CCM, akisema wapinzani wana miezi na miaka hawatembelei wananchi wakati wao kila kukicha ni kiguu na njia kuhakikisha wanasikiliza wananchi na kutatua changamoto zao.
 
Wakuu,

Tumeona ni chama kimoja tu ndio kilikuwa na sintofahamu kidogo kutoka kwao, kwahiyo hapa alikuwa anamaanisha ushindani ulikuwa kwati ya wao na CHADEMA pekee?

====

Katika mkutano wake leo Novemba 29, 2024 Amos Makalla ametoa sababu mbalimbali zilizofanya CCM kupata ushindi mnono kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na jambo moja lililosaidia wao kushinda ni mogogoro inayoendelea kutoka vyama vya upinzani.

Sababu nyingine alizotaja ni pamoja na kujiandaa vizuri kwa CCM, akisema wapinzani wana miezi na miaka hawatembelei wananchi wakati wao kila kukicha ni kiguu na njia kuhakikisha wanasikiliza wananchi na kutatua changamoto zao.
Na si misconduct ambazo zilikuwa zichangiwa na mamlaka kwa makusudi?
 
Sababu nyingine alizotaja ni pamoja na kujiandaa vizuri kwa CCM, akisema wapinzani wana miezi na miaka hawatembelei wananchi wakati wao kila kukicha ni kiguu na njia kuhakikisha wanasikiliza wananchi na kutatua changamoto zao.
Kuna watu hawana aibu hata kidogo! Leo analaumu wapinzani kwamba hawaendi kujitangaza kwa wananchi wakati kila wakienda wanafanyiwa figisu wanazuiwa na polisi,wanapigwa na kufunguliwa kesi za uongo halafu leo mtu anaongea unafiki!
 
Kuna watu hawana aibu hata kidogo! Leo analaumu wapinzani kwamba hawaendi kujitangaza kwa wananchi wakati kila wakienda wanafanyiwa figisu wanazuiwa na polisi,wanapigwa na kufunguliwa kesi za uongo halafu leo mtu anaongea unafiki!
wanakamatwa na kufungwa
 
Wakuu,

Tumeona ni chama kimoja tu ndio kilikuwa na sintofahamu kidogo kutoka kwao, kwahiyo hapa alikuwa anamaanisha ushindani ulikuwa kwati ya wao na CHADEMA pekee?

====

View attachment 3165079

Katika mkutano wake leo Novemba 29, 2024 Amos Makalla ametoa sababu mbalimbali zilizofanya CCM kupata ushindi mnono kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na jambo moja lililosaidia wao kushinda ni mogogoro inayoendelea kutoka vyama vya upinzani.

Sababu nyingine alizotaja ni pamoja na kujiandaa vizuri kwa CCM, akisema wapinzani wana miezi na miaka hawatembelei wananchi wakati wao kila kukicha ni kiguu na njia kuhakikisha wanasikiliza wananchi na kutatua changamoto zao.
Afya ya akili
 
Awe anamwogopa na Mungu. Kwani hata Mungu akimsikia anahuzunika.
 
Back
Top Bottom