johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenezi wa CCM komredi Makalla amesema kitendo cha Wafanyabiashara kuandamana hadi Ofisi za CCM kilikuwa ni Sahihi kwani CCM ndio yenye dhamana ya kuwaletea Maendeleo Wananchi
Makalla amesema Wafanyabiashara waliokuwepo Kariakoo kabla Soko halijaungua wote watarudi sokoni kama walivyoahidiwa na Serikali
Source: Mwananchi
My take; Chalamila alidhani RC ni mkubwa kuliko Chama 🐼
Pia soma:
Makalla amesema Wafanyabiashara waliokuwepo Kariakoo kabla Soko halijaungua wote watarudi sokoni kama walivyoahidiwa na Serikali
Source: Mwananchi
My take; Chalamila alidhani RC ni mkubwa kuliko Chama 🐼
Pia soma: