Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho kinaendelea kujipanga kwa uchaguzi ujao, huku akibeza kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inayosema hawatoingia kwenye uchaguzi pasipo kuwa na mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi.
Kamati kuu ya Chadema iliazimia kwamba 'No reform no election' uamuzi ambao umepigiliwa msumari na Mwenyekiti mpya wa Chadema, Tundu Lissu kwamba kwa sasa wanapigania mabadiliko ya sheria na si vinginevyo.
Leo Jumapili, Januari 26, 2025, akiwa Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar, Makalla amesema hao wanaosema 'no reform no election' hawana fedha wanatafuta sababu.
Kamati kuu ya Chadema iliazimia kwamba 'No reform no election' uamuzi ambao umepigiliwa msumari na Mwenyekiti mpya wa Chadema, Tundu Lissu kwamba kwa sasa wanapigania mabadiliko ya sheria na si vinginevyo.
Leo Jumapili, Januari 26, 2025, akiwa Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar, Makalla amesema hao wanaosema 'no reform no election' hawana fedha wanatafuta sababu.