Makamanda 21 wa jeshi la Rwanda wafukuzwa kazi na Rais Paul Kagame

Makamanda 21 wa jeshi la Rwanda wafukuzwa kazi na Rais Paul Kagame

Mkunazi Njiwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2023
Posts
8,538
Reaction score
7,559
Makamanda wakubwa 21 waonyeshwa mlango wa kutokea huko Rwanda....

Utulivu wa nchi za maziwa makuu hutegemea utulivu wa mataifa yote....

Huku mwanachama mmoja wa jumuiya ya "EAC" akitishia kujitoa...

Kule kwa majirani na ndugu zetu, kwa makosa tofauti kinyume na nidhamu kuu ya jeshi, wakosaji hao watimuliwa.

JMT MILELE
 
Hivi nini sababu ya mtoa mada kupigwa BAN ya kuchangia kwenye huu uzi alio uanzisha yeye mwenyewe!
 
Back
Top Bottom