Ayatollah ni mfuga majini mkubwa. Kile cheo lazima kilindwe na majini.Ayatollah ana majini kibao,yule ila ngoja apakwe mafuta atajitoa tu huko alimo jificha kile kilemba lazima kitolewe
Israel iko ndani ya Iran kila konaIsrael ameanza kujibu kidogo kidogo.... Tayari Makamanda watatu wa Irani wameenda Akhera. Si vibaya wameenda ku enjoy life ya huko. Mapambano bado yanaendelea. Khayatollah amefichwa sana.
View: https://x.com/DrEliDavid/status/1841523855556268509?t=c1jUfEiQD-FrDRjcNB0F7Q&s=19
Una usingizi?!..umeambiwa Syria,we unasema IranIsrael iko ndani ya Iran kila kona
Qud force ni kikosi kilicho chini ya Ayotollah mwenyewe. Kikiwa kwenye mission Syria, ndio wameelekezwa jongomeo na vikosi vya Israel 🤔Una usingizi?!..umeambiwa Syria,we unasema Iran
Kazi imeanza… tusubiri vilio sasa kutoka upande wa piliNetanyahu hana maneno mengi,anapoongea utekelezsji unaanza