Makamasi meupe kutokea koon.

Makamasi meupe kutokea koon.

Joyeuse

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2013
Posts
275
Reaction score
182
Nina taizo la makamas meupe kutokea puani. Nimetumia dawa za hospital lakin hali si shwari. Koo haliniumi wala haliwashi. Na makamas yanatoka safi bila damu. Kwakuwa nilikaa kwenye bardi kali . Baadh wananiambia kuwa hali itaisha tu ..kwani hiyo ni barid inasumbua.huwa yanashuka na kuganda kooni yananifanya nikohoe hadi koo linachoma.
Halaf kuna muda huwa naihis hii hali hadi kunako sikio.
Nisaidien tiba asili jamani hata kama ya hospital kama bado sijaitumia nitaitumia . Hali hii imenichosha. Msaada wenu madokta
 
Back
Top Bottom