Makamba acha hizo ati makandarasi wazawa wanachelesha miradi: SGR na Stigler vipi?

Makamba acha hizo ati makandarasi wazawa wanachelesha miradi: SGR na Stigler vipi?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Matatizo ya viongozi wetu wengi ni kujifanya wanajua masuala ya ukandarasi na ujenzi wakati kiukweli ni watupu kabisa.

Taarifa ya habari saa mbili ITV waziri Makamba amewaonya makandarasi wazawa kwa kutokamilisha miradi kwa wakati.
Waziri kaongea hivyo akiweka jiwe la msingi kiwanda cha mabomba ya mradi wa mafuta toka Uganda.

Hapohapo nikajiuliza huu weledi wa viongozi wetu kama Majamba, unatoka wapi kwa makandarasi wazawa wakati mbele ya macho yao miradi ya reli SGR na mradi wa bwawa la umeme Stiglers mpaka leo ziko nyuma ya wakati, tena kwa kiwango kikubwa!

Hatusemi basi wale makandarasi wazawa wacheleweshe miradi, hasha, lakini viongozi wengi hawapati briefing ya wataalam wasimamizi waliopo kwenye mradi.

Wao huishia kutoa lawama tu ili wasikike na vyombo vya habari.
Hili halikubaliki.
 
Matatizi ya viongozi wetu wengi ni kujiwea wanajua masuaka ya ukandarasi na ujenzi wakati kiukweli ni watupu kabisa.
Taarif ya habari saa mbili ITV waziri Makamba aliwaonya makandarasi wazawa kwa kutokamilisha miradi kwa wakati.
Waziri kaingea vivyo akiweka jiwe la msingi kiwanda cha mabomna ya mradi wa mafuta toka Uganda.

Hapohapo nikajiuliza huu weledi wa vionhozi wetu unatoka wapi kwa makandarasi wazawa wakati mbele ya macho yao miradi ya reli SGR na mradi wa bwawa la umeme Stiglaz mpaka leo ziko nyuma ya wakati, tena kwa kiwango kikubwa!
Hatusemi basi wale makandarasi wazawa wacheleweshe miradu, hasha,lakini viongozi wengi hawapati briefing ya wataalam wasumamizi waliopo kwwnye mradi.
Wao huishia kutoa lawama tu ili wasikike na vyimbo vya habari.
Hili halikubalini.
Ndugu uwe unafanya proofreading tafadhali. Una haraka gani?
 
Matatizi ya viongozi wetu wengi ni kujiwea wanajua masuaka ya ukandarasi na ujenzi wakati kiukweli ni watupu kabisa.
Taarif ya habari saa mbili ITV waziri Makamba aliwaonya makandarasi wazawa kwa kutokamilisha miradi kwa wakati.
Waziri kaingea vivyo akiweka jiwe la msingi kiwanda cha mabomna ya mradi wa mafuta toka Uganda.

Hapohapo nikajiuliza huu weledi wa vionhozi wetu unatoka wapi kwa makandarasi wazawa wakati mbele ya macho yao miradi ya reli SGR na mradi wa bwawa la umeme Stiglaz mpaka leo ziko nyuma ya wakati, tena kwa kiwango kikubwa!
Hatusemi basi wale makandarasi wazawa wacheleweshe miradu, hasha,lakini viongozi wengi hawapati briefing ya wataalam wasumamizi waliopo kwwnye mradi.
Wao huishia kutoa lawama tu ili wasikike na vyimbo vya habari.
Hili halikubalini.
Endelea kujitambua ,sasa tuko pamoja,hongera kwa kuzinduka
 
Matatizo ya viongozi wetu wengi ni kujifanya wanajua masuala ya ukandarasi na ujenzi wakati kiukweli ni watupu kabisa.

Taarifa ya habari saa mbili ITV waziri Makamba aliwaonya makandarasi wazawa kwa kutokamilisha miradi kwa wakati.
Waziri kaongea hivyo akiweka jiwe la msingi kiwanda cha mabomba ya mradi wa mafuta toka Uganda.

Hapohapo nikajiuliza huu weledi wa viongozi wetu unatoka wapi kwa makandarasi wazawa wakati mbele ya macho yao miradi ya reli SGR na mradi wa bwawa la umeme Stiglers mpaka leo ziko nyuma ya wakati, tena kwa kiwango kikubwa!

Hatusemi basi wale makandarasi wazawa wacheleweshe miradi, hasha, lakini viongozi wengi hawapati briefing ya wataalam wasumamizi waliopo kwenye mradi.

Wao huishia kutoa lawama tu ili wasikike na vyimbo vya habari.
Hili halikubalini.

Makamba ni kielelezo cha tatizo la msingi linalokwamisha Afrika kupita hatua. Kila kitu kwake ni dili. Sasa hivi anatemebea na majina ya wakandarasi mfukoni ili awaondoe wakandarasi aliowakuta na kuweka wake. Mwisho wa siku bei ya umeme itandelea kuwa juu, mwananchi hatoona nafuu, na yote hiyo ni kwasababu ya mtu mmoja tu. Hivi ni kweli rais haoni dosari?
 
Ukisoma mikataba mingi, payment terms kwa wakandarasi wa nje na wa ndani zinatofautiana pamoja na kwamba kazi ni moja.

Wakandarasi wa nje wanapewa kipaumbele kwenye malipo hata kua guaranteed na malipo yao lakini wa ndani malipo ni shida, sasa watakamilisha vipi kama hawalipwi kwa wakati.

Mtu anapeleka invoice leo analipwa baada ya miezi 6, ila mkandarasi wa nje analipwa kwa letter of credit, yeye invoice yake inalipwa instantly.

Hii ni kwa mikataba karibu yote ya nchi hii,, REA, TANROAD, Tanesco, nk. Wakandarasi wa mdani hawapewi kipaumbele kwenye malipo lazima kazi zitasumbua.

Ukienda kwenye hizo taasisi, madeni mengi wanayodaiwa ni ya wakandarasi wa ndani ila sio wa nje. Mnataka wakandarasi wafanye kazi ila hamuwalipi watafanyaje hizo kazi kwa wakati?
 
Ukisoma mikataba mingi, payment terms kwa wakandarasi wa nje na wa ndani zinatofautiana pamoja na kwamba kazi ni moja.

Wakandarasi wa nje wanapewa kipaumbele kwenye malipo hata kua guaranteed na malipo yao lakini wa ndani malipo ni shida, sasa watakamilisha vipi kama hawalipwi kwa wakati.

Mtu anapeleka invoice leo analipwa baada ya miezi 6, ila mkandarasi wa nje analipwa kwa letter of credit, yeye invoice yake inalipwa instantly.

Hii ni kwa mikataba karibu yote ya nchi hii,, REA, TANROAD, Tanesco, nk. Wakandarasi wa mdani hawapewi kipaumbele kwenye malipo lazima kazi zitasumbua.

Ukienda kwenye hizo taasisi, madeni mengi wanayodaiwa ni ya wakandarasi wa ndani ila sio wa nje. Mnataka wakandarasi wafanye kazi ila hamuwalipi watafanyaje hizo kazi kwa wakati?
Ni kweki mkuu.
Nimeitaja miradi hiyo miwili ya SGR na Bwawa la umeme, wanasiasa wskienda huko wanaongea utafikiri ndege aliyelowa manyoya.
Lakini wakikuta makandarasi watanzania wansongea utafikiri wamewekwa upepo.
 
Ukisoma mikataba mingi, payment terms kwa wakandarasi wa nje na wa ndani zinatofautiana pamoja na kwamba kazi ni moja.

Wakandarasi wa nje wanapewa kipaumbele kwenye malipo hata kua guaranteed na malipo yao lakini wa ndani malipo ni shida, sasa watakamilisha vipi kama hawalipwi kwa wakati.

Mtu anapeleka invoice leo analipwa baada ya miezi 6, ila mkandarasi wa nje analipwa kwa letter of credit, yeye invoice yake inalipwa instantly.

Hii ni kwa mikataba karibu yote ya nchi hii,, REA, TANROAD, Tanesco, nk. Wakandarasi wa mdani hawapewi kipaumbele kwenye malipo lazima kazi zitasumbua.

Ukienda kwenye hizo taasisi, madeni mengi wanayodaiwa ni ya wakandarasi wa ndani ila sio wa nje. Mnataka wakandarasi wafanye kazi ila hamuwalipi watafanyaje hizo kazi kwa wakati?
Ni kweli kabisa mkuu.
Kuna mentality isiyo na tija kwa viongozi wengi.
Wakikuta mkandarasi mzawa utasikia maneno haya;
........Value for money!
........Kumaliza mradi kwa wakati na msicheleweshe maana mtawekwa ndani!
........makandarasi makanjanja!

Haya ni machache, lakini maneno haya yanaeleza kile viongozi wengi wasichojua juu ya miradi.
Miradi kama siyo yote ina msimamizi(Consultant), naye anajua kila stage ya mradi, na Consultant hawa wanajua ABC za mradi wote.

Sasa mwanasiasa anakuja akitoka atokako, na mara nyingi mkandarasi analipwa kwa mbinde kwa hiyo mradi hauendi, anafoka utafikiri mkandarasi ndio financier wa mradi.
Wakati huo huo, mwanasiasa haulizi payment schedule ya mradi toka kwa Client!
Huu ni ukosefu wa dhamira njema kwa wanasiasa.

Hivi tukisema kuna wanasiasa makanjanja tutakuwa tumekosea?
 
Matatizo ya viongozi wetu wengi ni kujifanya wanajua masuala ya ukandarasi na ujenzi wakati kiukweli ni watupu kabisa.

Taarifa ya habari saa mbili ITV waziri Makamba amewaonya makandarasi wazawa kwa kutokamilisha miradi kwa wakati.
Waziri kaongea hivyo akiweka jiwe la msingi kiwanda cha mabomba ya mradi wa mafuta toka Uganda.

Hapohapo nikajiuliza huu weledi wa viongozi wetu kama Majamba, unatoka wapi kwa makandarasi wazawa wakati mbele ya macho yao miradi ya reli SGR na mradi wa bwawa la umeme Stiglers mpaka leo ziko nyuma ya wakati, tena kwa kiwango kikubwa!

Hatusemi basi wale makandarasi wazawa wacheleweshe miradi, hasha, lakini viongozi wengi hawapati briefing ya wataalam wasimamizi waliopo kwenye mradi.

Wao huishia kutoa lawama tu ili wasikike na vyombo vya habari.
Hili halikubaliki.
Yeye mwenyewe Makamba ni mzawa na ni jipu lisilotimiza majukumu yake, Samia tumbua huyo fisadi Makamba
 
Back
Top Bottom