hii ni hali ya kutojiamini mh makamba katibu wa chama cha majambazi
nimetua toka mwanza dk kumi zilizopita mh makamba akiwa kiti cha mbele kwenye ndege ya airtanzania ,akaja mh tundu lisu mzee akageuza sura alipofika mh mdee akawa karibu nae mzee imani ikamshinda akamua kuama siti
tatizo lake asomi nyakati kila mara aoni mwenzake msekwa aisoma dira
pole mzee wetu mtanzania wa jana siyo yule wa leo hii
Mbona atamaliza viti kwenye ndege? CCM kitu cha kwanza wamweke pembeni Makamba na watu wa aina yake[Hiza & co],jipangeni upya,pamoja na vitisho vyote kwamba nyie peke ndio mnaoweza kuleta maendeleo wana Tarime wameona bora umasikini kuliko nyinyi hapa kuna kitu walitaka kuwaambia[kama mwenyekiti anavo ambiwa Mbeya].
makubwa haya,kwanini asinge omba kiti cha co-pilot kabisa
NDUGU YANGU SI ANGEUA WATU HUYU!!!KIJANA MDOGO TU KAPRESHA KAMEMSHINDA KAKIMBIA SITI AKIONA NDEGE INAVYOKATA KONA SI ATANGANGANIA CONTROLLER
MWACHE TU AFIE KITINI!!!!!NILIJUA ANGEMBUSU MH MDEE::KAAMA MWANAMKE JASIRI KUACHA NDOA YAKE NAKURUDI NA USHINDI MAKAMBA USIFANYE HIVYO TENA BABU KUWA UYAONE