Makamba ameteuliwa ili biashara za generator zianze tena kama kipindi cha awamu ya nne?

Makamba ameteuliwa ili biashara za generator zianze tena kama kipindi cha awamu ya nne?

Semahengere

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
1,186
Reaction score
1,966
Nachelea kusema hivi ila hakuna jinsi.

Generator zinanguruma huku Arusha Hadi mtu unachanganyikiwa

Na hili limetokea tu baada ya huja Jamaa kuteuliwa kulikoni tunaomba kujua

Hivi kweli mnataka kuturudisha kule?
 
Si alitoa week mbili kwa Regional Managers wa Tanesco umeme usikatike tena la atakuwa anawatumbua?
 
Duh kusema ukweli umeme hali ishakuwa tete
 
Back
Top Bottom