Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,966
Nachelea kusema hivi ila hakuna jinsi.
Generator zinanguruma huku Arusha Hadi mtu unachanganyikiwa
Na hili limetokea tu baada ya huja Jamaa kuteuliwa kulikoni tunaomba kujua
Hivi kweli mnataka kuturudisha kule?
Generator zinanguruma huku Arusha Hadi mtu unachanganyikiwa
Na hili limetokea tu baada ya huja Jamaa kuteuliwa kulikoni tunaomba kujua
Hivi kweli mnataka kuturudisha kule?