Paparazi Muwazi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 310
- 80
Duh... kazi ipoStupid a$% Makamba, they guy is so out of touch!!
Katibu Mkuu wa CCM, Makamba ameshtaki Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Halima Mdee kwa kumtuhumu kuwalinda watuhumiwa wa ufisadi. Bwana Makamba amewasilisha malalamiko hayo akirejea mchango wa Mbunge huyo alioutoa bungeni. Maelezo zaidi yatafuata
PM
Katibu Mkuu wa CCM, Makamba ameshtaki Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Halima Mdee kwa kumtuhumu kuwalinda watuhumiwa wa ufisadi. Bwana Makamba amewasilisha malalamiko hayo akirejea mchango wa Mbunge huyo alioutoa bungeni. Maelezo zaidi yatafuata
PM
Sijui mantiki ya kesi kama hiyo. Maana kikatiba, hairuhusiwi kufanya mashitaka kwa lolote litakalosemwa na Mbunge katika vikao vya Bunge. Labda kama Halima Mdee alitoa shutuma hizo nje ya Bunge
Hata ndani ya Bunge na Makamba na Londa ndio waliolalamika kama alivyolalamika Mengi kwamba Mdee kawasingizia, na baada ya Makamba na Londa kuandika maelezo yao na ushahidi yaliyofanana sana kwa kila kitu kasoro majina yao, Mdee akaitwa na akamwaga radhi kwa kutoa ushahidi wa ajabu ambao sasa umekuwa moto kwa kina Makamba na Londa na Muungwana amewaambia hilo ni lao walimalize wenyewe. Soon yatakuwa public
Hata ndani ya Bunge na Makamba na Londa ndio waliolalamika kama alivyolalamika Mengi kwamba Mdee kawasingizia, na baada ya Makamba na Londa kuandika maelezo yao na ushahidi yaliyofanana sana kwa kila kitu kasoro majina yao, Mdee akaitwa na akamwaga radhi kwa kutoa ushahidi wa ajabu ambao sasa umekuwa moto kwa kina Makamba na Londa na Muungwana amewaambia hilo ni lao walimalize wenyewe. Soon yatakuwa public
Hata ndani ya Bunge na Makamba na Londa ndio waliolalamika kama alivyolalamika Mengi kwamba Mdee kawasingizia, na baada ya Makamba na Londa kuandika maelezo yao na ushahidi yaliyofanana sana kwa kila kitu kasoro majina yao, Mdee akaitwa na akamwaga radhi kwa kutoa ushahidi wa ajabu ambao sasa umekuwa moto kwa kina Makamba na Londa na Muungwana amewaambia hilo ni lao walimalize wenyewe. Soon yatakuwa public