Elections 2010 Makamba amstukia slaa

mchonga

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2006
Posts
1,233
Reaction score
248


HUYU SLAA ANATAKA KUNIWEKEA MCHANGA BADALA YA UBWABWA KWENYE SAHANI HII.HIZI HABARI ZA MIE KUFUKUZWA UALIMU ZA NINI TENA MUDA HUU?
 
Na haya mambo ya kusemana habari za binafsi sio mazuri .... unajua mimi namheshimu sana Dr Slaa:

 
Inakuaje picha ya juu anatabasamu na sahani ya pili afuta machozi! was it the same day au coincedental alirudia safari (kaunda) suit ? Huyu ni Makamba wa ukwey :becky:
 
raha ya kula lazima uliwe,teh teh fataki makamba
 
Inakuaje picha ya juu anatabasamu na sahani ya pili afuta machozi! was it the same day au coincedental alirudia safari (kaunda) suit ? Huyu ni Makamba wa ukwey :becky:

moja ni mchana na nyingine ni usiku
 
Stop



Nyie vijana vipi nyiee, kama mie mbakaji kwani nyie kinawahusu nini?
Mmemuona lakini kijana wangu January na binti yangu Mwamvita wanavyokula nchi?
 
Kila ninapoangalia sisiemu naikumbuka kauli ya Horace Kolimba kwamba imekosa dira na mwelekeo.
Ndo maana wanapewa kipaumbele watu wenye upeo mdogo kama Makamba,Mama Salma nakadhalika.
 
House of Great Thinkers indeed! Labda House of Great Drinkers.
 
House of Great Thinkers indeed! Labda House of Great Drinkers.

nenda kule kwa mjomba wako michuzi na kaka yako kibonde mkajipendekeze kwa mabwana zenu ambao hata ukatibu tarafa hawawezi kuwapa kutokana na elimu yenu denu, hatukuitaji hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…