Makamba ashindwa kumjibu mama Kilango


Mazee,
Mbona unatoa data nusu nusu, weka kitu watu wajadili sio kutoa mashambulizi ya binafsi. Hata kama mama alliba Gulf air sio mambo yanayoihusu nchi......
 
unabisha kwamba anna kilango hakuiba pesa gulf air matokeo yake akafukuzwa kazi?

Mazee substantiate ur arguments, kuna mahakama na vyombo vingine vya dola ! Je alipelekwa mahakamani? Unaushaidi gani? ama ni chuki zako zidi ya huyu mama? kama huna ushaidi kaa kimya bro!
 
huyu mama kwa kweli anastaili hio dhawadi na kwa kweli mimi sioni kuna tatizo lolote la kuwa recognized na wamarekani kwa mchango wake dhidi ya mafisadi, hakuna ajenda yoyote ya siri dhidi ya huyu mama, aliyeleta hii hoja kaiweka kwa jazba sana nadhani ana mambo binafsi ambayo ameshindwa kuyaweka wazi kwa sababu alishaanza kumlaumu kwamba alikuwa waziri na hakufanya kitu hilihari huyu mama hakuwahi kuwa waziri ktk kipindi chochote,
makamba upeo wake ni mdogo sana au kama ni mkubwa basi anafanya kazi kwa maelekezo, awezi kuwa wazi kihivyo kiasi cha kuweza kumkemea mama kilango
 
masanilo,
kwani kila mwizi amekamatwa na kufungwa jela?! kwani kila fisadi amepelekwa mahakamani? nakwambia anna kilango malecela alifukuzwa kazi gulf air kutokana na makosa ya wizi wa pesa. unachobisha ni nini? rekodi yake katika masuala ya elimu jimboni kwake ilijadiliwa na ikathibitika kwamba amewaangusha wapiga kura wake.
 
masanilo,
kwani kila mwizi amekamatwa na kufungwa jela?! kwani kila fisadi amepelekwa mahakamani? nakwambia anna kilango malecela alifukuzwa kazi gulf air kutokana na makosa ya wizi wa pesa.

Weka ushahidi kwani huyu mama alikuwa ni muhasibu? she remains to not guilty hadi mahakama kisheria ithibitishe sawa bangu? hizi porojo zingine achana nazo!
 

Mkubwa, hizi ndio data tunazohitaji kupata upeo; ila pia tujiulize... Nyerere allifanyia nini butiama na familia yake ambayo hata watoto wake wengine ni soo? Yesu alifanya nini nazareti? wangapi manabii waling'aa kwao? nao hawafai?

Na je kabla ya Kilango, wilaya hiyo ilikuwa yangapi kwa elimu? na elimu hiyo ni yangazi gani?

Na mgawanyo wa human resources kwa sasa ukoje? je kuna private schools au shule za misheni kuongeza percentage ya performance?

Na hao unaowajua weye wameshaonyesha dalili ya mafanikio?

Huyo dokta mpe pole kwani hata kandoa kake vipi? alishamalizana vyema na masahibu?

Thanks
 
MTM,
masuala ya ndoa usiguse kabisa. ukumbi huu upo wazi hata kwa watoto wadogo. kuna hoja iliyojadili suala la elimu katika wilaya ya same. tafuta muda uipitie kuna mengi yamesemwa huko.

masanilo,
sasa unabisha wakati hujui hata anna kilango alikuwa ameajiriwa kama nani gulf air?
 
Bangu

Mimi sichangii tena hapa unachuki binafsi na Kilango, ukizidiwe saga chupa kunywa ama meza wembe....kwanini hakushitakiwa? Hizi habari za chini ya Mwembe tuache
 

MKUBWA!!
Nimekusoma na NAOMBA MSAMAHA KWA KWENDA NJE YA MSTARI.... DAMN THIS SAFARI LAGER

SHUKHRT
 
MTM,
bila samahani mkuu mkubwa. penye wengi hapaharibiki neno. achana na safari anza kunywa dengerua.

masanilo,
anna kilango akishinda tena ubunge same mashariki tumekwisha. hakutakuwa na haja ya kumeza wembe. bora usichangie kwasababu humfahamu vizuri huyu mama.
 
MTM,
bila samahani mkuu mkubwa. penye wengi hapaharibiki neno. achana na safari anza kunywa dengerua.

He, Makubwa haya sasa.... unataka niharishe mpaka utumbo?

siachi safari na nnaongeza mbili kabisa, nikitoka huko nikukute unampamba mama kilango
 
Jamani kumbukeni katika kila mwanamke shujaa kuna jibaba nyuma yake....Huyo mama anapewa nguvu na DUME LA MBEGU, au mnafikiri lile jibaba la mtera limeishiwa nguvu thubutu muulizeni MJOMBA atawaambia yaani hata wakimpambanisha kesho jamaa lazima awekwe kushoto.

Mi naona kawaida kwa mama kilango kuropoka kwanza alisoma nyakati akagundua hapa aking'ang'ania iyena iyena ataendelea kubakia back bench...isitoshe CCM yote ilichanganyikiwa wangepata wapi muda wa kumbana, MJOMBA alikuwa anawaza kumaliza anga za dunia tu hata ungekuwa wewe unafikiri ungefanyaje...mwacheni bwana ale bata si aliwafuga vema. Na ndugu yangu makamba ifike wakati apumzike maana anaadhirika bure kabisa...enzi za chama kushika hatamu zimeisha maana pale hata mtu wa darasa la saba anaweza kupewa ukuu wa wilaya ilimradi awe kada muaminifu ndani ya chama na anaweka mbele fikra za mwenyekiti. Period!
 
Mzee Bangusule? Mama anakuumiza kichwa sana nini/
Tatizo hasa ni nini? Ndoa ni nini? Ndio alishawai kuolewa a kuachika na Charles Nyange sasa hiyo ni nini? Hacha kung'ang'ania vitu visivyo na manufaa kwa taifa, sijui Gulf Air mara ndoa, hao waarabu wamfunge basi.

Mwache mwana dada apete hata kama unamwona debe tupu at least yeye anapiga kelele, sio kama kina yakhe kulala bungeni....
 
YE,
kuna mama daktari aliombwa na wazee wa same agombee uchaguzi ujao ametoa nje. MTM akadai huyo mama kwanza arekebishe mambo yake ya ndoa. nikamjibu kwamba tusiende kwenye mambo ya ndoa tujadili siasa. kama unataka kujadili ndoa za watu wewe endelea peke yako. sisi tunajadili siasa na wanasiasa.

fiksimani,
neno uoga halipo katika msamiati wa anna kilango malecela. huyu mama ni tough, namfahamu, hajafundishwa na mzee malecela. hata kwenye mkutano mkuu alimvaa mkapa kuhusu kuondolewa kwa jina la malecela wakati mzee mwenyewe alishakubali yaishe. tatizo la anna kilango ni kwamba hana uwezo wala upeo wa kuchochea na kusimamia maendeleo ya jimbo letu.

MTM,
dengerua linasafisha tumbo sasa wewe unafikiri ni kuharisha. pombe nzuri sana ile.
 

- Sasa imagine huyu ni mpiga kura wakati wa uchaguzi, hata siasa ya taifa lake hajui lakini maneno mengi ya kuokota okota ambayo yeye mwenyewe huyaita gullibe gullibe, bwa! ha! ha! ha! what a joke!

FMES!
 

- Saafi sana kutoka tena kutoka kwa muhogo!

Respect.

FMES!
 
,fiksimani,
hata kwenye mkutano mkuu alimvaa mkapa kuhusu kuondolewa kwa jina la malecela wakati mzee mwenyewe alishakubali yaishe. tatizo la anna kilango ni kwamba hana uwezo wala upeo wa kuchochea na kusimamia maendeleo ya jimbo letu.

- Mkuu Bangusule huo mkutano ambao Mama Anna alimvaa Mkapa, ulifanyika wapi, na lini? Ulikuwa mkutano mkuu wa nini hasa mkuu maana naona ulinipita huo?

- Kuhusu jimblo lenu, kama mna mbunge asiyekwua na upeo maana yake ni moja wananchi wa huko Same East hamna upeo, period na sio otherwise!

Respect.

FMES!
 
- Sasa imagine huyu ni mpiga kura wakati wa uchaguzi, hata siasa ya taifa lake hajui lakini maneno mengi ya kuokota okota ambayo yeye mwenyewe huyaita gullibe gullibe, bwa! ha! ha! ha! what a joke!

FMES!

nimekusoma nimekufikia.
Soma post zangu baada ya hiyo acha kupotossha mkuu.
Nimeonesha uungwana kwa kurekebisha kauli na sijaiedit post uliyoitumia kausudi ili kutoa mfano kwa wanasiataPOTO wa nchi hii namna wanavyoweza kujirudi na kuwa wanajamii wema zaidi.
Humu hatunyanyapai mtu ila turekebishana tabia kwa manufaa ya nchi. Si kila aliye against na CCM ni mhaini mkuu. ila hao sisiem wengi wamehaini maslahi ya nchi kwa utashi na matakwa yao binafsi huku wakilindwa na kuenziwa na vyombo vyote vya usalama.
 
............naanza kupata wasiwasi kuhusu magnitude ya hii kitu inayoitwa ufisadi,inaonekana wenzetu wengine wanamaono tofauti..............
 
- Sasa imagine huyu ni mpiga kura wakati wa uchaguzi, hata siasa ya taifa lake hajui lakini maneno mengi ya kuokota okota ambayo yeye mwenyewe huyaita gullibe gullibe, bwa! ha! ha! ha! what a joke!

FMES!
Mkulu ES
Taratibu kuna mashimo mbele...unabomoa sample....gari yetu kama taifa ipo chini sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…