MtazamoWangu
JF-Expert Member
- Apr 25, 2009
- 313
- 7
Hali imekuwa ngumu upande wa Mzee Makamba baada ya wananchi wa Bumbuli kumkataa mwanae Januari Makamba na kumuunga mkono mtu mwingine katika nafasi ya ubunge.
Mzee Makamba amepagawishwa na taarifa alizopatiwa na watu wake wakaribu jimboni kwamba hali ni ngumu na wananchi wengi wamekuwa wakimuunga mkono kijana Abdulkadir, wanafunzi wengi wa vyuo waliopo jimboni wamekuwa wakimtangaza bwana Abdulkadir na kikao cha wananchi wa jimbo la bumbuli wanaoihsi DSM kukutana na kutoa tamko la kumuunga mkono Abdulkadir kuwa ndio anayefaa kugombea nafasi hiyo, habari hizi zimekuwa ni mwiba kwa familia ya Makamba ambapo wiki iliyopita tulimuona mama yake mzazi Januari akienda jimboni na kuonana na wanawake, alifanya sherehe na kuchinga ngome na kuwaalika wanawake wengi kutoka maeneo mbalimbali jimboni, mbali na kuwaambia wanawake hao wamuunge mkono kijana wake, aliwapatia kila mmoja khanga na fedha taslimu shilingi 10,000, Huyu mama aliwaambia wananchi yeye atakufa na mtu mwaka huu na yupo tayari afilisike kuliko mwanae ashindwe...
Leo mzee makamba ameingia jimboni akitokea dodoma na kuitisha kikao nyumbani kwake kilichohudhuriwa na watu zaidi ya 30, katika kikao hicho Mzee Makamba alimshambulia kijana Abdulkadir na kuwaambia watu kuwa kijana huyo ni mzururaji huko mjini na hana kazi wala nyumba ya kuishi na hawafai acheni kudanganywa...alikuwa pia amefuatana vijana wawili ambao alisema walikuwa kwenye kambi ya Abdulkadir na kuamua kujitoa..(ilibainika kwamba si kweli bali ni kuwahadaa wananchi vijana hao hawako kwa Abdulkadir), baada ya Mzee makamba kuwalaumu sana watu wake kwa kuacha Abdulkadir anakubalika zaidi ya mwanae,aliahidi kutoleta msaada wowote kama hawatamuunga mkono.
mwisho wa kikao wajumbe walikabidhiwa kila mmoja shilingi 2000 na viongozo kupatiwa 5000.
My take: Kwa namna hii je CCM itaweza kupambana na rushwa kwenye siasa?
je wagombea wengine watatendewa haki kiasi gani kwenye mchakato ikiwa Januari ni mtoto wa katibu mkuu wa chama na anafanyiwa kampeni na viongozi wa chama?
sisi tuliokuwepo huku jimboni tunaona yanayotokea huku na tunasubir tuone mamuzi ya chama kabla ya uchaguzi.....
mpaka sasa bado inaonekana mchuano mkali utakuwa baina ya Januari Makamba na Abdulkadir kaniki kwani hakuna mtu anayemtaja tena Mzee Shelukindo
taarifa zinasema Januari Makamba atakuwepo jimboni mwishoni mwa wiki ijayo baada ya mama yake na baba yake kupita kusafisha njia.....
reporter wako;
Bumbuli TV
Mzee Makamba amepagawishwa na taarifa alizopatiwa na watu wake wakaribu jimboni kwamba hali ni ngumu na wananchi wengi wamekuwa wakimuunga mkono kijana Abdulkadir, wanafunzi wengi wa vyuo waliopo jimboni wamekuwa wakimtangaza bwana Abdulkadir na kikao cha wananchi wa jimbo la bumbuli wanaoihsi DSM kukutana na kutoa tamko la kumuunga mkono Abdulkadir kuwa ndio anayefaa kugombea nafasi hiyo, habari hizi zimekuwa ni mwiba kwa familia ya Makamba ambapo wiki iliyopita tulimuona mama yake mzazi Januari akienda jimboni na kuonana na wanawake, alifanya sherehe na kuchinga ngome na kuwaalika wanawake wengi kutoka maeneo mbalimbali jimboni, mbali na kuwaambia wanawake hao wamuunge mkono kijana wake, aliwapatia kila mmoja khanga na fedha taslimu shilingi 10,000, Huyu mama aliwaambia wananchi yeye atakufa na mtu mwaka huu na yupo tayari afilisike kuliko mwanae ashindwe...
Leo mzee makamba ameingia jimboni akitokea dodoma na kuitisha kikao nyumbani kwake kilichohudhuriwa na watu zaidi ya 30, katika kikao hicho Mzee Makamba alimshambulia kijana Abdulkadir na kuwaambia watu kuwa kijana huyo ni mzururaji huko mjini na hana kazi wala nyumba ya kuishi na hawafai acheni kudanganywa...alikuwa pia amefuatana vijana wawili ambao alisema walikuwa kwenye kambi ya Abdulkadir na kuamua kujitoa..(ilibainika kwamba si kweli bali ni kuwahadaa wananchi vijana hao hawako kwa Abdulkadir), baada ya Mzee makamba kuwalaumu sana watu wake kwa kuacha Abdulkadir anakubalika zaidi ya mwanae,aliahidi kutoleta msaada wowote kama hawatamuunga mkono.
mwisho wa kikao wajumbe walikabidhiwa kila mmoja shilingi 2000 na viongozo kupatiwa 5000.
My take: Kwa namna hii je CCM itaweza kupambana na rushwa kwenye siasa?
je wagombea wengine watatendewa haki kiasi gani kwenye mchakato ikiwa Januari ni mtoto wa katibu mkuu wa chama na anafanyiwa kampeni na viongozi wa chama?
sisi tuliokuwepo huku jimboni tunaona yanayotokea huku na tunasubir tuone mamuzi ya chama kabla ya uchaguzi.....
mpaka sasa bado inaonekana mchuano mkali utakuwa baina ya Januari Makamba na Abdulkadir kaniki kwani hakuna mtu anayemtaja tena Mzee Shelukindo
taarifa zinasema Januari Makamba atakuwepo jimboni mwishoni mwa wiki ijayo baada ya mama yake na baba yake kupita kusafisha njia.....
reporter wako;
Bumbuli TV