Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 308
How outhentic is this information? Mbona the whole of last week, huyo Mama alikuwa Johanesburg...imewezekanaje akawepo Jbg na Bumbulu at the same time? Sina uhakika na hiyo mikutano mingine unayoongelea, lakini kwa huo wa Mama ni UONGO..nathibitisha hilo... Again, inanifanya nitilie mashaka na the rest of the story.. Hebu tupatie uthibitisho wa watu unaowaongelea na vikao unavyoripoti ni sahihi..
Hawa watoto wa viongozi watashikwa mikono mpaka lini? hata kama ni vilaza vipi. Hawawezi kutafuta njia zao wenyewe mpaka wategemee baba zao. Inakera ka nini vile. Halafu litasimama mbele za watu na kujidai. Hovyooooooooooooooooooooooooooo
Mangi, hivi wewe ukigombea/uitangaza nia, baba yako au mama yako hatakusaidia?
Mangi, hivi wewe ukigombea/uitangaza nia, baba yako au mama yako hatakusaidia?
Ninamkubali huyu kijana kwa uwezo wake wa kupangilia mambo. Though sina uhakika sana kama anaweza kwenda bungeni na kutetea maslahi ya Taifa against system iliyopo ilihali na yeye ni mwanachama wa hiyo system.
Mimi nimekunwa na point moja. Kwamba ameamua kuandika kitabu juu ya Bumbuli na mustakabali wake katika lugha ya Kiingereza akiwalenga wale wanaoishi nje ya Bumbuli na Tanzania, na baadaye ndipo kitafsiriwe kwa Kiswahili kuwalenga Watanzania na wakazi wa Bumbuli wasiojua king'eng'e. A very telling point.
Steve,....mmmmh, is this a case for patriotism or nationalism?!