pascaldaudi
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 534
- 96
''Eti anajifanya anajua saaana kunukuu vitabu vya dini! Sijui Kikwete kamtoa wapi huyu Msambaa na wacha aimalize kabisa hiyo ccm!:A S 13:
''Eti anajifanya anajua saaana kunukuu vitabu vya dini! Sijui Kikwete kamtoa wapi huyu Msambaa na wacha aimalize kabisa hiyo ccm!:A S 13:
hicho ni Chama cha kijeshi, JK ni Luteni Kanali Mstahafu, Makamba ni Luteni Mstaahfu, Kinana ni Brigedia Mstaafu, Komba ni Capteni na wengine wapo wengi mno humo chamani na serikalini, na mwisho wa yote MNADHIMU AMEAMUA KULIVALIA NJUGA KUKIOKOA CHAMA