Hivi vyama vya nchi jirani na nyingine, kama kenya au sa, katibu wa chama anakuwa ni pendekezo la mwenyekiti au ni chaguo la wanachama? Maana naona kauli ya Makamba inaonyesha utiifu wake ni kwa walio mpendekeza na si kwa wanachama au wapiga kura wake(wajumbe wa CCM waliompigia Kura) etc