mzee mzee mzee taratibu basihii ni sawa na mchawi kumpigiqa kelele za mchawi kila kukicha, akishindwa kuwanyamazisha atawaroga, ndio haya ya makamba, huyu ni fisadi na kelele za ufisadi zina mkera, hana jinsi na nadhani iongekuwa yeye ndo jk angeshautekeleza mpabngo wa masha wa kum fleece mengi. Huyu ni chiriku tu ndo maana hata kwenye chama anawaingiza machriku wenzake kwani wakikaa pamoja stori zinapanda. Huyu hawezi kukaa meza moja na akina mwakyembe, seleli, kilango, mpendazoe, zambi nk. Huyu anaweza kaa meza moja na kina komba cpt, chitalilo a.k.a kikojozi, rostam, masha et al.
Hii ni sawa ni mbweko usio na mbwa, teh... Tehe. Kho,
Makamba asiishie hapo, ajaribu kutufundisha hata nini cha kuongea ili mambo yaende anavyotaka yeye.Swala la Kagoda si linahusiana na CCM wao wenyewe?
Anaomba mjadala ufungwe ili kagoda tusahau lakini wapi mzee utakwenda na maji na wewe.
Acha baadhi ya Wabunge wa CCM watake huyu jamaa aondolewe kwenye nafasi hiyo. Anaropoka kila kukicha vitu visivyokuwa na kichwa wala miguu. JK inabidi amtafute mtu mwingine katika nafasi hiyo maana kuwepo kwake kunazidi kuiharibia CCM.
Weeeee.. Bubu acha usiseme kabisa, Makamba muache abaki hapo hapo, kwa maana huyu anatusaidia sana kusafisha njia yetu ya kutuondolea chama cha mafisadi kilicho tufikisha hapa tulipo!
Katibu mkuu wa CCM bwana Yusuph Makamba amedai Mjadala wa EPA ufungwe kwa kuwa watuhumiwa wote wameshafikishwa mahakamani. Je ni kweli watuhumiwa wa EPA wote wameisha fikishwa mahakamani?