Jamani Hivi Ni Kwa Nini Tusipindue Nchi Ili Baada Ya Hapo Tuanze Kuheshimiana? Maana Yanayofanyika Tanzania Ni Kama Vile Nchi Isiyo Na Wenyewe Kila Siku Kukicha Ni Mambo Ya Hovyo Tu Tunashuhudia Yaani Kana Kwamba Hawa Watawala Hata Baada Ya Kuifilisi Tanzania Wakaona Haitoshi Na Hivi Sasa Wameamua Kuwachoka Watanzania