Makambo aikimbia Yanga ajiunga Horoya ya Guinea

Makambo aikimbia Yanga ajiunga Horoya ya Guinea

HPAUL

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2011
Posts
410
Reaction score
567
Habari mpya ni kwamba leo Mshambuliaji tegemeo wa Yanga Heritier Makambo amejiunga na Horoya ya Guinea kwa mkataba wa miaka mitatu, habari zaidi zitafuata.
 
60391072_2264745486946646_7128876018860818432_o.jpg
 
Huuh huuh...! Nasikia Zahera ndo kaondoka naye kwenda kumuuza, yaani jamaa anafanya atakalo..[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna dalili za ukweli ndani yake, Zahera ni longo longo mingi, Shishimbi hawezi baki.
 
Mwenyekiti Msola amesema Zahera ndo katimua naye Juzi Usiku kwenda kumuuza Horoya huko Guinea na yeye Zahera anarudi Kesho..Chanzo EFM..!
Kumbe Msolla ameingizwa mjini na Zahera, walikubaliana akafanye vipimo vya tu, halafu wajadiliane bei, lakini Zahera amemuuza mwenyewe na Horoya watajua jinsi ya kupambana, itakuja issue ya mshahara na hela ya usajili.
 
Back
Top Bottom