Tatizo la kujifanya "much know". Yaan kwa upumbavu umeshindwa hata ku-google Makambo ni nani mpaka uje umebinuka eti " mi sio shabiki wa Yanga Makambo ni nani?" Makambo ni baba ako mdogo wee muulize mama ako anamjua vzur shuhuri yakePunguza jazba halafu ujifunze kuandika.
Basi swali hili ungeacha waulize hao wasiofuatilia. Wee kaa kimya, waache wapambane na hali zaoMakambo ndo nani? Elezea si kila mtu anafuatilia mambo ya Yanga
Mnipe taratibu ya kuchangia YANGA yetu.
Ana uhusiano na yule Banka Mzee wa Misumari aliekuwa Mikia Bi Hindu SC?Kuna mtoto anaitwa Mohamedi Banka ni majeruhi! Naye ni balaa, huu ndio usajili wa akili sio wale walioamua kulea vikongwe!
Sent using Jamii Forums mobile app
π π π π π bi Hindu fcIle ilikuwa ni tukuyu si uturuki. ngoja waje wale wa tukuyu na mapovu yao.
JINSI YA KUICHANGIA KLABU YETU.
VODACOM M-PESA.
1.Piga *150*00#
2.Chagua 4 - Lipa kwa M- Pesa.
3. Chagua 4- Ingiza namba (123123)
4. Weka Kumbukumbu Namba (150334)
5. Weka Kiasi.
6. weka namba ya siri.
7. Utapata ujumbe wa uthibitisho.
TIGO PESA.
1. Piga *150*01#
2. Chagua namba 6 (Huduma za kifedha)
3. Chagua namba 5 (Selcom Pay).
4. Ingiza namba ya Malipo (150334).
5. Weka kiasi.
6. Ingiza namba ya siri.
7. Utapata Ujumbe wa uthibitisho wa muamala.
AIRTEL MONEY.
1. piga *150*60#
2. Chagua namba 5( Fanya Malipo)
3.Chagua namba 2 ( Uchaguzi wa biashara)
4.Chagua namba 3 (Manunuzi)
5. Chagua namba 3 (Selcom)
6. Weka kiasi.
7.Ingiza namba ya malipo (150334)
8.Weka namba ya siri.
9. Utapata Ujumbe wa uthibitisho wa muamala.
UKIFANYA HIVO UTAKUWA UMEICHANGIA KLABU YAKO, HONGERA SANA MWANANCHI! PIA ITAKUWA VEMA UKITUONESHA UJUMBE WAKO HAPA WA MALIPO. . PIA WAHAMASISHE NA WENGINE KUCHANGIA.
Yanga ni yetu. Tunaopata furaha inapofanya vizuri ni sisi. Hima tuichangie.
Ni ukweli usiopingika huyu jamaa (makambo) ni mchezaji mzuri sana, naiona yanga bora iliyosajili kwa akili kubwa sana hasa kuongezeka kwa makambo, feisali, ngassa, kaseke na kindoki, hakika hawa jamaa wanaonyesha kiwango bora sana kunako dimba, muda utakua shahidi ila makambo namuona aking'ara sana msimu huu. Hakika timu pinzan na yanga zijiandae kisaikolojia
Nashukuru sana kwa kinisaidia
Hahahahaaa yaan mtu anachokijua,anadhani dunia nzima inajuaMakambo ndo nani? Elezea si kila mtu anafuatilia mambo ya Yanga
Achana na yule jamaa, mpira anaujua sana till nowHata Tshishimbi Kabamba tuliambiwa hivi hivi, baadae ikaja kujulikana ni mvaa kikuku tu.
Huyu naye tutamjua tu.
Sio mzima wewe, una mchezaji wa kufanana na Tshishimbi somewhere else kwenye TPL?Hata Tshishimbi Kabamba tuliambiwa hivi hivi, baadae ikaja kujulikana ni mvaa kikuku tu.
Huyu naye tutamjua tu.
Sio mzima wewe, una mchezaji wa kufanana na Tshishimbi somewhere else kwenye TPL?
Kwan anaipeleka wapi?. Pumbavu kabisa wewe kwahiyo ulitaka Pappy peke ake aipeleke wapi Yanga?.Kaifikisha wapi timu?