Elections 2010 Makame angeahirisha uchaguzi ili wanavyuo wapige kura

Elections 2010 Makame angeahirisha uchaguzi ili wanavyuo wapige kura

Zak Malang

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2008
Posts
5,404
Reaction score
239
Nimemsikia Mwenyekiti wa NEC aliyeteuliwa na Mwenyekiti wa CCM kwenye wadhifa huo, Lewis Makame ktk Channel 10 leo usiku akisema tume yake haina uwezo wa kuwasaidia wanafunzi wa vyuo kupiga kura ktk sehemu za vyuo walikojiandikisha!! Kidogo niipasue TV yangu!!!!

Nikajiuliza: Hivi kweli NEC ni huru na taasisi inayosimamia demokrasia? Kwa nini tangu mwanzo alipoona vyuo vitakuwa bado vimefungwa asiahirishe uchaguzi kwa wiki moja tu ili wanafunzi wapate fursa ya kupiga kura? Kweli alikuwa hana uwezo huo? Au anafuata amri tu ya serikali ya chama tawala?
 
Yaani wewe kama mimi tu, kidogo nipasue TV, hivi hizi zote ni njama tu za kutaka CCM irudi madarakani? Kwa kweli TZ hii, basi tu.
Anyway, nitapanda gari kwenda Dar ili nikamchague rais wangu.
 
Yaani haw a wanaweza kuahirisha hat a daladala zisifanye kazi Sikh hiyo ili tushindwe kwenda kupiga kura
 
Nimemsikia Mwenyekiti wa NEC aliyeteuliwa na Mwenyekiti wa CCM kwenye wadhifa huo, Lewis Makame ktk Channel 10 leo usiku akisema tume yake haina uwezo wa kuwasaidia wanafunzi wa vyuo kupiga kura ktk sehemu za vyuo walikojiandikisha!! Kidogo niipasue TV yangu!!!!

Nikajiuliza: Hivi kweli NEC ni huru na taasisi inayosimamia demokrasia? Kwa nini tangu mwanzo alipoona vyuo vitakuwa bado vimefungwa asiahirishe uchaguzi kwa wiki moja tu ili wanafunzi wapate fursa ya kupiga kura? Kweli alikuwa hana uwezo huo? Au anafuata amri tu ya serikali ya chama tawala?

"Anyone that wants the presidency so much that he'll spend two years organizing and campaigning for it is not to be trusted with the office
 
Back
Top Bottom