Makampuni na Serikali muajiri watu kutokana na uwezo wao na sio jinsia

Makampuni na Serikali muajiri watu kutokana na uwezo wao na sio jinsia

Ricky Blair

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
463
Reaction score
1,009
Ifike mahala watu na makampuni na serikali muajiri watu kutokana na uwezo sio jinsia tu ya kuweka wanawake sekta fulani 50/50.

Sidhan kama kuna ubaya wowote watu wa aina yoyote kufanya kazi sehemu fulani; ila iendane na sifa. Kama umesoma udaktari na ukapata asilimia 60% wanawake poa, unesi 80% wanawake poa, upilot au engineer ukapata 90% wanaume pia waache msilazimishe 50/50 when watu hawana sifa.

Unapita kwa makampuni ya simu kama Airtel, Voda sijui Tigo na Halotel; wanawake wamekaa tu kwa technical desks ila ukiwafuata wanakuambia msubirie fulani anakuja au anahudumia wengine; sasa yeye anafanya nn hapo? Si bora akakae kwa desk ya customer care?

Meanwhile yeye yupo busy na simu Insta au Youtube. Umbuzi wa wapi huu? Hata benki na PSSSF ni ujinga huo huo, desks nyingi empty au wanaongea na simu nusu saa au kutoka kwenda uani cjui, etc.

Sipingi wanawake kufanya kazi au sijui kuwaita hawana akili ila tukubali tupo tofauti na ujuzi unatofautiana na kwa sekta tofauti. Tusilazimishe 50/50 kwa kila sekta.
 
Kweli mkuu,uangaliwe ujuzi hata kama wote watakuwa wa jinsia moja vyovyote vile ilimradi ubora wa kazi uwe wa hali ya juu
 
Acha kwa sasa hata taasisi za juu wanataka wanawake ili kuleta usawa ni balaa...Wanawake wanapewa vitengo bomba kabisa kweny pesa ndefu
 
Ifike mahala watu na makampuni na serikali muajiri watu kutokana na uwezo sio jinsia tu ya kuweka wanawake sekta fulani 50/50.

Sidhan kama kuna ubaya wowote watu wa aina yoyote kufanya kazi sehemu fulani; ila iendane na sifa. Kama umesoma udaktari na ukapata asilimia 60% wanawake poa, unesi 80% wanawake poa, upilot au engineer ukapata 90% wanaume pia waache msilazimishe 50/50 when watu hawana sifa.

Unapita kwa makampuni ya simu kama Airtel, Voda sijui Tigo na Halotel; wanawake wamekaa tu kwa technical desks ila ukiwafuata wanakuambia msubirie fulani anakuja au anahudumia wengine; sasa yeye anafanya nn hapo? Si bora akakae kwa desk ya customer care?

Meanwhile yeye yupo busy na simu Insta au Youtube. Umbuzi wa wapi huu? Hata benki na PSSSF ni ujinga huo huo, desks nyingi empty au wanaongea na simu nusu saa au kutoka kwenda uani cjui, etc.

Sipingi wanawake kufanya kazi au sijui kuwaita hawana akili ila tukubali tupo tofauti na ujuzi unatofautiana na kwa sekta tofauti. Tusilazimishe 50/50 kwa kila sekta.
Bank na makampuni ya simu wanawake ni wengi sana.
 
Ifike mahala watu na makampuni na serikali muajiri watu kutokana na uwezo sio jinsia tu ya kuweka wanawake sekta fulani 50/50.

Sidhan kama kuna ubaya wowote watu wa aina yoyote kufanya kazi sehemu fulani; ila iendane na sifa. Kama umesoma udaktari na ukapata asilimia 60% wanawake poa, unesi 80% wanawake poa, upilot au engineer ukapata 90% wanaume pia waache msilazimishe 50/50 when watu hawana sifa.

Unapita kwa makampuni ya simu kama Airtel, Voda sijui Tigo na Halotel; wanawake wamekaa tu kwa technical desks ila ukiwafuata wanakuambia msubirie fulani anakuja au anahudumia wengine; sasa yeye anafanya nn hapo? Si bora akakae kwa desk ya customer care?

Meanwhile yeye yupo busy na simu Insta au Youtube. Umbuzi wa wapi huu? Hata benki na PSSSF ni ujinga huo huo, desks nyingi empty au wanaongea na simu nusu saa au kutoka kwenda uani cjui, etc.

Sipingi wanawake kufanya kazi au sijui kuwaita hawana akili ila tukubali tupo tofauti na ujuzi unatofautiana na kwa sekta tofauti. Tusilazimishe 50/50 kwa kila sekta.
You know zaman ilikuwa hivyo , sote tunajua matokeo yalikuaje na yakoje sasa. Efficient imetupwa pembeni
 
Back
Top Bottom