Kerosine Bal
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 247
- 231
Atuache tupambane na hali zetutumtafute yule maza wa jana kwenye kongamano aliye diss kubet tumuulize mwanae huwa anabetia kampuni gani
Asante sana, nakujaKaribu kijiwen @1xbet
Plan ni kufanikiwa tuu na biashara.Sio mchezo mzuri Kwa afya yako na malezi bora ya family maana ukisha uelewa kurudi nyumbani na matunda itakuwa mtihani Sana au ukibeba basi ni machungwa ya 500/ ili elf 3 ukatoe mkeka!!
Piano kuna plan nyingi kwa wanao bet mfano. Kuna ambae anataka odds ya 5 aweke Laki 1 apate laki 5,kuna anayetaka kuweka 500 apate MIL 18( Ndoto za alinacha) SIJAJUA PLAN YAKO UNAPOTAKA KUINGIA KATIKA BIASHARA HII AMBAYO NI PENDWA SANA KWA VIJANA BUT SIO NZURI KWA AFYA ZAO
Kwa nn unanionea huruma boss?Nakuonea sana huruma..
Ila sio mbaya karibu kwenye ulimwengu huu wa kubet