Makampuni ya simu yameamua kwa makusudi kupunguza kasi ya internet?

Makampuni ya simu yameamua kwa makusudi kupunguza kasi ya internet?

Conwel Ngani

Senior Member
Joined
Sep 16, 2018
Posts
134
Reaction score
149
Leo siku ya tatu nina experience low speed ya internet, awali nilidhani nilijua shida ni airtel nayotumia nikaunga voda bado nikapata tatizo lile lile. Nilipouliza na wengine malalamiko ni hayo hayo.

Vipi kwako hali ikoje? Kama sote iko hivyo je ni maagizo ya TCRA? Maana juzi niliona wanazungumzia kasi kubwa ya mtandao inamaliza MB haraka.
 
Mimi natumia Tigo, unanunua Bundle vizuri ila huwezi hata kusoma habari Google,ukiingia YouTube Hadi inaboa
Kuna muda signal strength zinapotea zote
 
Mimi natumia Tigo, unanunua Bundle vizuri ila huwezi hata kusoma habari Google,ukiingia YouTube Hadi inaboa
Kuna muda signal strength zinapotea zote
Tigo nili experience hiki kitu march.. bar ilikuwa inasoma 1/2
Simu ikisoma LTE ni kwa nadra.

Na tu niko mjini… sahivi hata laini ilipo sikumbuki


Nimerudi Voda,, bei ghali lakini wako vizuri
 
Huku mtandao uko fresh, nimeacha voda sababu inakimbia sana inanimalizia mb.
 
Tigo nili experience hiki kitu march.. bar ilikuwa inasoma 1/2
Simu ikisoma LTE ni kwa nadra.

Na tu niko mjini… sahivi hata laini ilipo sikumbuki


Nimerudi Voda,, bei ghali lakini wako vizuri
Yani inakera Sana,Voda wamerudisha kifurushi Cha YouTube ? TCCL zamani nili enjoy Sana 4G huko,tatizo lao sim card ikipotea ni Ngumu kuirudisha
 
Nikupe siri ya hizi kampuni.itaki kuongeza vifaa na kubadilika na teknolojia zinavotaka ndio maana wanafanya watakavo
 
Tigo nili experience hiki kitu march.. bar ilikuwa inasoma 1/2
Simu ikisoma LTE ni kwa nadra.

Na tu niko mjini… sahivi hata laini ilipo sikumbuki


Nimerudi Voda,, bei ghali lakini wako vizuri
Vocha ulikua unawekaga??
 
Usipoweka vocha internet inakua hakuna siyo kama slow... hahahaha
😂😂😂😂 walikuwa too much slow bana.

Kuna mtu wa halotel anaendaga kufata network parking

Voda nakula maisha… ila kistaarabu, nikila kistaa tu nimeishaa
 
😂😂😂😂 walikuwa too much slow bana.

Kuna mtu wa halotel anaendaga kufata network parking

Voda nakula maisha… ila kistaarabu, nikila kistaa tu nimeishaa
Screen Shot 2022-05-12 at 12.01.18.png
 
Back
Top Bottom