Conwel Ngani
Senior Member
- Sep 16, 2018
- 134
- 149
Tigo nili experience hiki kitu march.. bar ilikuwa inasoma 1/2Mimi natumia Tigo, unanunua Bundle vizuri ila huwezi hata kusoma habari Google,ukiingia YouTube Hadi inaboa
Kuna muda signal strength zinapotea zote
Linaweza kuwa kweli pia… me nilikuwa muhanga wa kuishiwa mb pasipo kuelewa zinaelekea wapi…Maana juzi niliona wanazungumzia kasi kubwa ya mtandao inamaliza MB haraka.
Yani inakera Sana,Voda wamerudisha kifurushi Cha YouTube ? TCCL zamani nili enjoy Sana 4G huko,tatizo lao sim card ikipotea ni Ngumu kuirudishaTigo nili experience hiki kitu march.. bar ilikuwa inasoma 1/2
Simu ikisoma LTE ni kwa nadra.
Na tu niko mjini… sahivi hata laini ilipo sikumbuki
Nimerudi Voda,, bei ghali lakini wako vizuri
Yaan hata kutuma msg whatsapp inachukua sekunde kadhaaInategemea na eneo
Vocha ulikua unawekaga??Tigo nili experience hiki kitu march.. bar ilikuwa inasoma 1/2
Simu ikisoma LTE ni kwa nadra.
Na tu niko mjini… sahivi hata laini ilipo sikumbuki
Nimerudi Voda,, bei ghali lakini wako vizuri
Kifurushi cha YT pekee sijuiYani inakera Sana,Voda wamerudisha kifurushi Cha YouTube ? TCCL zamani nili enjoy Sana 4G huko,tatizo lao sim card ikipotea ni Ngumu kuirudisha
Naweka ndiyo..Vocha ulikua unawekaga??
Usipoweka vocha internet inakua hakuna siyo kama slow... hahahahaNaweka ndiyo..
😂😂😂😂 walikuwa too much slow bana.Usipoweka vocha internet inakua hakuna siyo kama slow... hahahaha
😂😂😂😂 walikuwa too much slow bana.
Kuna mtu wa halotel anaendaga kufata network parking
Voda nakula maisha… ila kistaarabu, nikila kistaa tu nimeishaa
Nilipopata mkopo elimu ya juu kwa Mara ya kwanza,nilinunua hii vocha
Kitambo...Nilipopata mkopo elimu ya juu kwa Mara ya kwanza,nilinunua hii vocha