Makampuni ya simu yanaweza kurekodi kila simu inayopigwa au kupiga?

Makampuni ya simu yanaweza kurekodi kila simu inayopigwa au kupiga?

deecharity

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
932
Reaction score
506
Habari wakuu, baada ya kuvutana kwa mabishano ya hoja hapa tulipo nimeona nije JF kuuliza kuhusu hili.

Hivi kampuni yoyote ya simu ina uwezo wa kurekodi maongezi ya kila mteja wake kwa simu anazopiga au kupigiwa (maongezi)? Yaani hata zile simu za salam, au wanachukua hatua ya kurekodi tu pale inapohitajika.

Nilichokuwa najua mimi binafsi ni kuwa wana uwezo wa kupata msg zote na kujua namba fulani ilimpigia fulani na wakaongea kwa dakika kadhaa, na kama wanarekodi simu zote za maongez na sauti je wanatumia teknolojia gani kutunza kumbukumbu ya hizo audio?

Nawasilisha, anaefahamu zaidi tunaomba elimu..
 
Wanarekodi na zinatumika ikiwa Kuna shida ya uvunjifu wa amani kufatilia kila kitu
 
Kampuni za simu hawarekodi. Ila kuna contractor wa Israel anaitwa Pegasus anatumiwa na nchi nyingi Duniani kufuatilia mawasiliano ya watu maalum.
 
Kampuni za simu hawarekodi. Ila kuna contractor wa Israel anaitwa Pegasus anatumiwa na nchi nyingi Duniani kufuatilia mawasiliano ya watu maalum.
Huyu Pegasus anapenya hadi kwenye viswaswadu/semu za batani?
 
Habari wakuu, baada ya kuvutana kwa mabishano ya hoja hapa tulipo nimeona nije JF kuuliza kuhusu hili.

Hivi kampuni yoyote ya simu ina uwezo wa kurekodi maongezi ya kila mteja wake kwa simu anazopiga au kupigiwa (maongezi)? Yaani hata zile simu za salam, au wanachukua hatua ya kurekodi tu pale inapohitajika.

Nilichokuwa najua mimi binafsi ni kuwa wana uwezo wa kupata msg zote na kujua namba fulani ilimpigia fulani na wakaongea kwa dakika kadhaa, na kama wanarekodi simu zote za maongez na sauti je wanatumia teknolojia gani kutunza kumbukumbu ya hizo audio?

Nawasilisha, anaefahamu zaidi tunaomba elimu..
Unarekodiwa hata sms huwa zinatunzwa kwenye server.Imewahi kutusaidia sana wakati tunamsaka mwizi wetu.Tulienda kwanza Polisi kuchukua loss report na kufungua RB,kisha tukaenda Vodashop aah!!,mbona kilieleweka.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Litambue hili:

Karibia cho chote unachokifanya kwa kutumia simu yako kinarekodiwa na kutunzwa kwa kipindi kisichozidi miaka mitatu. Likumbuke hili kila unapopiga simu au kuporomosha matusi mitandaoni humu. Na kama ni picha au video hizo zinaweza kukaa hata milele. Ndo maana wakasema the internet never forgets!
 
Litambue hili:

Cho chote unachokifanya kwa kutumia simu yako kinarekodiwa na kutunzwa kwa kipindi kisichozidi miaka mitatu. Likumbuke hili kila unapopiga simu au kuporomosha matusi mitandaoni humu. Na kama ni picha au video hizo zinaweza kukaa hata milele. Ndo maana wakasema the internet never forgets!
Not true, fuatilia tena
 
Back
Top Bottom