Makampuni ya simu yaweke huduma ya kufuta meseji zilizokosewa

Makampuni ya simu yaweke huduma ya kufuta meseji zilizokosewa

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Napendekeza makapuni ya simu yaweke huduma ya kufuta ujumbe wa meseji (text) zilizokosewa; mfano ndani ya sekunde 15 au pengine kabla haujasomwa.

Nimependekeza hivi baada ya kuona watu wanavyo pata wakati mgumu pale wametuma meseji kwa makosa; mf:
  • Mtu huweza kukosea na kumtumia bosi wake meseji ya mpenzi wake
  • Na nyingine nyingi
Nafikiri kwa kufanya hivyo, kungekuwa ni maboresho muhimu ya huduma kwani yange epusha changamoto za kazi na za kifamilia zisizo kuwa na ulazima.

WhatsApp, Skype nk wanayo hiyo huduma nafikiri ni wakati muafaka wa kuboresha meseji (tests).

Nawasilisha!!!
 
Mmmh unazungumzia mambo ya Auto correct na text prediction au? Hii si unaweza kuweka On au Off kwenye smartphone yako au sijakuelewa vizuri mkuu
 
Mwenye uwezo huo ni aliyetengeneza Message application na sio mtandao wa simu. Na hapo nadhani inabidi wote mtumie application moja.

Mawazo yangu tu
 
Mwenye uwezo huo ni aliyetengeneza Message application na sio mtandao wa simu. Na hapo nadhani inabidi wote mtumie application moja.

Mawazo yangu tu
Ahaaa kumbe
 
Ndio maana hukumuelewa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...viswaswadu(msamiati mpya)[emoji854][emoji6]
Eeeh nimeshamuelewa ndio maana pale juu nikasema au ni mimi sijakuelewa? Ila fresh tunadunda na viswaswadu/Nokia torch zetu zinatusevu
 
Napendekeza makapuni ya simu yaweke huduma ya kufuta ujumbe wa meseji (text) zilizokosewa; mfano ndani ya sekunde 15 au pengine kabla haujasomwa.

Nimependekeza hivi baada ya kuona watu wanavyo pata wakati mgumu pale wametuma meseji kwa makosa; mf:
  • Mtu huweza kukosea na kumtumia bosi wake meseji ya mpenzi wake
  • Na nyingine nyingi
Nafikiri kwa kufanya hivyo, kungekuwa ni maboresho muhimu ya huduma kwani yange epusha changamoto za kazi na za kifamilia zisizo kuwa na ulazima.

WhatsApp, Skype nk wanayo hiyo huduma nafikiri ni wakati muafaka wa kuboresha meseji (tests).

Nawasilisha!!!
Good idea.

Ila mimi kuna app moja nilikua nayo unaweza kufanya setting kuwa message isiwe sent kabla ya sekunde 15 kuisha. Lakini option pekee kwa simu za button ni ku-cancel, kwa smartphone ni maumivu😅😅
 
Back
Top Bottom