Makampuni ya Utapeli ya kutoa Mikopo yashtakiwe

Makampuni ya Utapeli ya kutoa Mikopo yashtakiwe

Nkarahacha

Member
Joined
Oct 3, 2023
Posts
17
Reaction score
38
Kampuni zilizokuwa zikitoa mikopo kwa wananchi bila vibali na kwa riba kubwa zinapaswa kushitakiwa kwani walichokuwa wakikifanya ni utapeli kama utapeli mwingine.

Pia kwanini utapeli na wizi vimeongezeka kipindi hiki cha serikali ya awamu ya sita? Je,wahusika wa hizi kampuni wanaweza kuwa vigogo serikalini?

Screenshot_2024_1122_121520.png
 
Back
Top Bottom