Not even a single one!!! I am just a Tanzanian who is trying to figure out how to punish these fisadized companies. They are making us pay high costs of air time. Beside making huge profit, they do not want to pay proper tax so that our gorvenment can fund varous development programmes. As you said most of the mobile phone companies have fisadis behind them, and I have a big challenge of choosing a phone service provider when I come back to Tanzania next month. I hope I will be able to find one with a clean record of tax payment
Andindile, Twambombo,
Karibu Bongo ndugu yetu,
Hapa Bongo hapatakalika tukiamua kususia bidhaa zote. Chukulia mfano huu kidogo
1. TANESCO- (Mafisadi: Songas, Aggreko, IPTL etc na Rostam ndo msambaji wa nguzo ndo maana hata bei ya nguzo imepanda sana). Haya wandugu ng'oeni mita za TANESCO wekeni solar
2. Nondo za kujengea- Jeetu Patel and co. (kiwanda kimewaka moto majuzi), kuna kiwanda kingine cha wahindi kule Kipawa na pia cha SITA stills pale Tabata along Mandeal road hivi sivijui vizuri.
3. Viwanda vya nguo vingi labda ukiondoa Urafiki vina mikono ya mafisadi
4. Treni- inamilikiwa na Wahindi mafisadi: Hakuna kupanda treni- ndugu zetu wa Kigoma, Mwanza, Tabora, Shinyanga, Kagera n.k kazi kwenu
5. Precision Air- Fisadi Mramba ana hisa huko - Hakuna kupanda Precision Air
6. Madini (Caspian ya Rostam ndo wachimbaji): kwahiyo wafanyakazi wote huko waache kazi
7. Bandarini- Kuna TICTS ya mafisadi. Kwahiyo hakuna kununua bidhaa yoyote inayotoka nje ya nchi inayopitia bandari ya DSM yakiwemo magari ili TICTS wakose kazi
8. Makampuni ya simu: (a). VodaCom- Kuna RA (share holder 35 %), Somaiya (Shivacom -super dealer ), Lowasa - Alphatel (dealer)
(b). Zain (wameifisadi TTCL hadi ikabinafsishwa kwa bei chee na wameingia TZ kwa wizi na utapeli mkubwa)
(c). Tigo (wamekuwa wakibadili majina kila baada ya miaka 5 kukwepa kodi: 2001 from Mobitel to Buzz, 2006 from Buzz to Tigo) na ukifuatilia tangu kuanzishwa kwake mwaka 1993 ikishirikiana na shirika la posta na simu wakati huo mpaka sasa ime-undergo several dubious contracts na serikali. Mpaka sasa kampuni inamilikiwa na Millicom ya Luxemburg kwa asilimia 100 % kinyume na sheria za nchi
(d). TTCL - hii nayo imebinafsishwa kwa Wa-Kanada kifisadi kupita kawaida na bila shaka mafisadi wana share huko. Kwahiyo tunatupa simu zote na kufunga landline zetu zote tuwasiliane kwa internet na barua.
Mpo hapo WaTZ wenzangu? Shughuli ipo. Ndugu zangu kila mahali tumezungukwa na ufisadi na kama hutaki kabisa bidhaa hata moja inayotokana na kazi yoyote ya mafisadi inabidi uondoke katika hii dunia.
The best way let us vote CCM out next year (2010) yaweza kutusaidia sana angalau kupunguza wizi wa mali za umma kwa maendeleo ya taifa letu.