Tempus Fugit
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 850
- 2,212
Habari wadau...?
Niende moja kwa moja kwenye maudhui ya uzi huu. Huwa najiuliza sana kuhusu business plan ya makampuni yanayouza bidhaa kama pipi, au maji ya kunywa...
Wanatengenezaje faida ikiwa bei naona iko chini ukilinganisha na gharama zilizotumika kutengeneza bidhaa husika?
Mfano, maji ya masafi au afya au mengineyo, unakuta bei yake ni TZS 500, 700. Ila ukiangalia ile bidhaa imegharimu gharama kubwa za kiuzalishaji, kama vile kifungashio(chupa), imegharimu chemical process za filtration na purification, umeme, transport n.k
Au chukulia gharama zilizotumika kuitengeneza pipi moja mpaka imekuwa bidhaa inayoweza kutumika,..then pipi moja inauzwa TZS 50 au 100, au 200..
Halafu bidhaa moja kama maji inakuja kuuzwa 500 mtaani. Tena hiyo si bei ya kiwandani ambayo inakuwa chini zaidi..sasa kwa style hii haya makampuni yanapataje faida?
Maana mimi naona kama gharama za uzalishaji wa bidhaa hizo ni kubwa..na bei walau ingekuwa kubwa kidogo.
Kwa wenye kufahamu revenue model ya haya makampuni anitoe tongotongo.
Niende moja kwa moja kwenye maudhui ya uzi huu. Huwa najiuliza sana kuhusu business plan ya makampuni yanayouza bidhaa kama pipi, au maji ya kunywa...
Wanatengenezaje faida ikiwa bei naona iko chini ukilinganisha na gharama zilizotumika kutengeneza bidhaa husika?
Mfano, maji ya masafi au afya au mengineyo, unakuta bei yake ni TZS 500, 700. Ila ukiangalia ile bidhaa imegharimu gharama kubwa za kiuzalishaji, kama vile kifungashio(chupa), imegharimu chemical process za filtration na purification, umeme, transport n.k
Au chukulia gharama zilizotumika kuitengeneza pipi moja mpaka imekuwa bidhaa inayoweza kutumika,..then pipi moja inauzwa TZS 50 au 100, au 200..
Halafu bidhaa moja kama maji inakuja kuuzwa 500 mtaani. Tena hiyo si bei ya kiwandani ambayo inakuwa chini zaidi..sasa kwa style hii haya makampuni yanapataje faida?
Maana mimi naona kama gharama za uzalishaji wa bidhaa hizo ni kubwa..na bei walau ingekuwa kubwa kidogo.
Kwa wenye kufahamu revenue model ya haya makampuni anitoe tongotongo.