Makamu Mwenyekiti CCM bara, Philip Mangula ziarani Iramba- Singida

Makamu Mwenyekiti CCM bara, Philip Mangula ziarani Iramba- Singida

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Habari wadau wa JF.

Wilayani Iramba mkoa wa Singida mambo ni Moto. Shamrashamra zimetawala ktk mji wa Kiomboi ambao ni makao Makuu ya Wilaya kufuatia ziara ya makamu mwenyekiti wa CCM bara, Ndugu Philip Mangula.

Mzee huyu asiyekuwa na makuu hivi sasa anazungumza na wanachama ktk ukumbi wa Halmashauri. Mjumbe moja alisikika akisema huyu mzee hana makuu na pengine mwaka 2025 tusishangae kushuhudia maajabu kama Yale ya 2015 yaliyoacha watu midomo wazi.
 
Habari wadau wa JF.

Wilayani Iramba mkoa wa Singida mambo ni Moto. Shamrashamra zimetawala ktk mji WA Kiomboi ambao ni makao makuu ya wilaya kufuatia ziara ya makamu mwenyekiti wa CCM bara, Ndugu Philip Mangula.

Mzee huyu asiyekuwa na makuu hivi sasa anazungumza na wanachama ktk ukumbi wa Halnashauri. Mjumbe moja alisikika akisema huyu mzee hana makuu na pengine mwaka 2025 tusishangae kushuhudia maajabu kama Yale ya 2015 yaliyoacha watu midomo wazi.
Jamani,duniani imebadilika, hatupo 1960s or 1970s. This is not newsworthy, achilia mbali kuianzishia uzi humu. Nani mwenye akili zake timamu anataka kufatilia taarifa za mazee ya CCM, haina jipya.
 
Namkubali sana mzee Mangula ,ni kati ya watu wachache duniani wanaozeeka na akili zao timamu. Ni moja ya miamba yenye historia nzito na ya kufikirisha kwenye taifa hili.
 
Habari wadau wa JF.

Wilayani Iramba mkoa wa Singida mambo ni Moto. Shamrashamra zimetawala ktk mji wa Kiomboi ambao ni makao makuu ya wilaya kufuatia ziara ya makamu mwenyekiti wa CCM bara, Ndugu Philip Mangula.

Mzee huyu asiyekuwa na makuu hivi sasa anazungumza na wanachama ktk ukumbi wa Halmashauri. Mjumbe moja alisikika akisema huyu mzee hana makuu na pengine mwaka 2025 tusishangae kushuhudia maajabu kama Yale ya 2015 yaliyoacha watu midomo wazi.
Hata Nyalandu yuko huko huko nadhani " wako" safari moja!
 
Jamani,duniani imebadilika, hatupo 1960s or 1970s. This is not newsworthy, achilia mbali kuianzishia uzi humu. Nani mwenye akili zake timamu anataka kufatilia taarifa za mazee ya CCM, haina jipya.
Mzee Mangula anaongea akiwa na akili timamu kabisa kuliko yule kijana wenu lazima apige'weed' ndio azungumze
 
Jamani,duniani imebadilika, hatupo 1960s or 1970s. This is not newsworthy, achilia mbali kuianzishia uzi humu. Nani mwenye akili zake timamu anataka kufatilia taarifa za mazee ya CCM, haina jipya.
Jipya utalipata hivi punde bwashee!
 
Jamani,duniani imebadilika, hatupo 1960s or 1970s. This is not newsworthy, achilia mbali kuianzishia uzi humu. Nani mwenye akili zake timamu anataka kufatilia taarifa za mazee ya CCM, haina jipya.
Habari ni habari, mbona kikao cha kamati kuu ya Chadema ilirindima humu juzi
 
Habari wadau wa JF.

Wilayani Iramba mkoa wa Singida mambo ni Moto. Shamrashamra zimetawala ktk mji wa Kiomboi ambao ni makao Makuu ya Wilaya kufuatia ziara ya makamu mwenyekiti wa CCM bara, Ndugu Philip Mangula.

Mzee huyu asiyekuwa na makuu hivi sasa anazungumza na wanachama ktk ukumbi wa Halmashauri. Mjumbe moja alisikika akisema huyu mzee hana makuu na pengine mwaka 2025 tusishangae kushuhudia maajabu kama Yale ya 2015 yaliyoacha watu midomo wazi.
Nami nipo na namwona Dkt. Mwigulu na kicheko cha bashasha!
 
Back
Top Bottom