Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wassira awasili Songwe kwa ajili ya ziara ya siku 3

Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wassira awasili Songwe kwa ajili ya ziara ya siku 3

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Songwe mkoani Mbeya kwa ajili ya kuanza ziara ya siku tatu kuanzia Machi 13 hadi 16, 2025 mkoani Songwe.

Uwanjani hapo Makamu Mwenyekiti Wasira alilakiwa na viongozi mbalimbali wa CCM na serikali akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Daniel Chongolo.

IMG-20250314-WA0045.jpg


IMG-20250314-WA0047.jpg

IMG-20250314-WA0044.jpg

IMG-20250314-WA0048.jpg
 
Back
Top Bottom