Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Muda wowote kutoka sasa Heche atatua hapo Lamadi, Simiyu ambako anatarajiwa kutoa neno, ambako ataenda Bunda na Kisha kumalizia Tarime Mjini kabla ya kupokelewa rasmi kesho Februari 13, 2025.
Akizungumza huko Tarime, Heche amewahasa wananchi wa Tarime kuiunga mkono CHADEMA kutokana na mabadiliko ambayo chama imepanga kuyaleta na ameongeza kuwa CCM kwa muda mrefu sasa imekuwa ikiwaibia watanzania.
Heche pia aligusia ukubwa wa mishahara ya wabunge akisema kuwa kwa mwezi Mbunge anapokea Million 20 wakati ndani ya kikao kimoja wanalipwa posho ya laki 6 wakati huo huo kuna wananchi wanalipwa mishahara midogo isiyokidhi.
Muda wowote kutoka sasa Heche atatua hapo Lamadi, Simiyu ambako anatarajiwa kutoa neno, ambako ataenda Bunda na Kisha kumalizia Tarime Mjini kabla ya kupokelewa rasmi kesho Februari 13, 2025.
Akizungumza huko Tarime, Heche amewahasa wananchi wa Tarime kuiunga mkono CHADEMA kutokana na mabadiliko ambayo chama imepanga kuyaleta na ameongeza kuwa CCM kwa muda mrefu sasa imekuwa ikiwaibia watanzania.
Heche pia aligusia ukubwa wa mishahara ya wabunge akisema kuwa kwa mwezi Mbunge anapokea Million 20 wakati ndani ya kikao kimoja wanalipwa posho ya laki 6 wakati huo huo kuna wananchi wanalipwa mishahara midogo isiyokidhi.