Makamu Mwenyekiti NCCR Mageuzi: Spika Tulia anataka kuzuia kilichoibuliwa na Mpina kisijadiliwe na bunge wala wananchi, aache mijadala ifanyike

Makamu Mwenyekiti NCCR Mageuzi: Spika Tulia anataka kuzuia kilichoibuliwa na Mpina kisijadiliwe na bunge wala wananchi, aache mijadala ifanyike

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Katika mahojiano yake na mwandishi wa Habari Makamu Mwenyekiti NCCR Mageuzi, Joseph Selaasini amesema;

"Mpina aliliona hili, sababu alikuwa akipata upinzani wakati anaongelea suala hili bungeni, sio tu kutoka kwa spika bali hata kutoka kwa wabunge wenzake. Kwa maslahi ya nchi aliona alipeleke hili nje ya bunge sababu ni jambo ambalo linaathiri wananchi.

"Kwa maoni yangu, Spika asizuie jambo hilo, aache wananchi wajadili. Rais Samia ni mtu ambaye amejitabanaisha kukataa rushwa, haiwezekani yeye akatae rushwa halafu watekelezaji wa sera za nchi pamoja na ilani wazuie mambo kama haya yajadaliwe, watakuwa wanaenda kinyume na Rais mwenyewe. Kumuunga mkono Rais hamaniishi kuacha kuibua mianya rushwa, anayesimiama kokote kuibua mianya ya rushwa huyu anakuwa anamuunga mkono Rais. Spika asizuie watu wanaotaka kumsaidia Rais kupambana na rushwa.

"Mpina kama mbunge ana haki ya kuongea Watanzania pamoja na wapiga kura wake. Spika anatakiwa kusimamia jambo hilo kwa namna ambayo wananchi wataona haki ikitetendeka, yaani upande mwingine wapewe nafasi ya kutengeza hoja kinzani na zile alizotoa Ppina. Kumfungia Mpina wananchi wakakaa bila majibu maana yake ni kuwafanya wananchi wakubaliane na Mpina. Hoja haitatuliwi kwa rungu wala nyundo bali ni kwa hoja yenye nguvu zaidi.

"Spika ana haki ya kumpeleka mbunge yoyote katika kamati ya maadili, lakini katika hili mimi kama raia nadhani mahesabu yamepigwa vibaya. Kwa hatua aliyochukuwa maana yake watanzania watachukua upande wa mpina, kilichochokuwa kinatakiwa ni kufanya mjadala ili hoja za mpina ziuawe/kufutwa kwa hoja zenye nguvu zaidi.

"Kumpeleka kwenye kamati ya maadili wananchi wanaona anaonewa na hata mimi pia naona hivyo, sababu kwanini hoja zake hazijibiwi matokeo yake tunaingiza technicalities? Ndio maana hata mahakama iliondoa utaratibu huu, sababu ukishinda kwa technicalities lazima kutokee uonevu sababu unazuia upande mweingine usitoe ushahidi/usisikilizwe.

"Pamoja na Mpina kupelekwa kwenye kamati ya Maadili, tunachotaka Watanzania ni hii hoja ijadiliwe.

"Wito wangu ni kwamba; siingilii maamuzi ya Spika, lakini hoja ya Mpina ijadiliwe."



#KataaMachawa
#KataaUozo2025
====

Pia soma:

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- FULL TEXT: Maelezo ya Ushahidi Wa Luhaga Mpina Kwa Spika Wa Bunge Dkt Tulia Ackson juu ya Waziri Hussein Bashe Kusema Uongo Bungeni kuhusu Sukari

- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
 
Katika mahojiano yake na mwandishi wa Habari Makamu Mwenyekiti NCCR Mageuzi, Joseph Selaasini amesema;

"Mpina aliliona hili, sababu alikuwa akipata upinzani wakati anaongelea suala hili bungeni, sio tu kutoka kwa spika bali hata kutoka kwa wabunge wenzake. Kwa maslahi ya nchi aliona alipeleke hili nje ya bunge sababu ni jambo ambalo linaathiri wananchi.

"Kwa maoni yangu, Spika asizuie jambo hilo, aache wananchi wajadili. Rais Samia ni mtu ambaye amejitabanaisha kukataa rushwa, haiwezekani yeye akatae rushwa halafu watekelezaji wa sera za nchi pamoja na ilani wazuie mambo kama haya yajadaliwe, watakuwa wanaenda kinyume na Rais mwenyewe. Kumuunga mkono Rais hamaniishi kuacha kuibua mianya rushwa, anayesimiama kokote kuibua mianya ya rushwa huyu anakuwa anamuunga mkono Rais. Spika asizuie watu wanaotaka kumsaidia Rais kupambana na rushwa.

"Mpina kama mbunge ana haki ya kuongea Watanzania pamoja na wapiga kura wake. Spika anatakiwa kusimamia jambo hilo kwa namna ambayo wananchi wataona haki ikitetendeka, yaani upande mwingine wapewe nafasi ya kutengeza hoja kinzani na zile alizotoa Ppina. Kumfungia Mpina wananchi wakakaa bila majibu maana yake ni kuwafanya wananchi wakubaliane na Mpina. Hoja haitatuliwi kwa rungu wala nyundo bali ni kwa hoja yenye nguvu zaidi.

"Spika ana haki ya kumpeleka mbunge yoyote katika kamati ya maadili, lakini katika hili mimi kama raia nadhani mahesabu yamepigwa vibaya. Kwa hatua aliyochukuwa maana yake watanzania watachukua upande wa mpina, kilichochokuwa kinatakiwa ni kufanya mjadala ili hoja za mpina ziuawe/kufutwa kwa hoja zenye nguvu zaidi.

"Kumpeleka kwenye kamati ya maadili wananchi wanaona anaonewa na hata mimi pia naona hivyo, sababu kwanini hoja zake hazijibiwi matokeo yake tunaingiza technicalities? Ndio maana hata mahakama iliondoa utaratibu huu, sababu ukishinda kwa technicalities lazima kutokee uonevu sababu unazuia upande mweingine usitoe ushahidi/usisikilizwe.

"Pamoja na Mpina kupelekwa kwenye kamati ya Maadili, tunachotaka Watanzania ni hii hoja ijadiliwe.

"Wito wangu ni kwamba; siingilii maamuzi ya Spika, lakini hoja ya Mpina ijadiliwe."



#KataaMachawa
#KataaUozo2025
====

Pia soma:

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- FULL TEXT: Maelezo ya Ushahidi Wa Luhaga Mpina Kwa Spika Wa Bunge Dkt Tulia Ackson juu ya Waziri Hussein Bashe Kusema Uongo Bungeni kuhusu Sukari

- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili

Sahihi kabisa.

Lakini Tulia hawezi kuruhusu hoja ya Mpina ijadiliwe kwa sababu yupo pale kuwalinda mafisadi waliopo ndani ya Serikali. Atakuwa tayari Serikali nzima iabike kwa wananchi na kuonekana ni Serikali ya kutetea ufisadi kuliko kumtosa fisadi mmoja au wawili.

Hongera Mpina. Tulikupinga kwenye samaki, lakini kwenye hili umeonesha uzalendo wa hali ya juu dhidi ya mafisadi waliojipanga kuteteana.

Wananchi wenye hekima na walio na uzalendo wa kweli kwa Taifa lao, tupo na Mpina. Tunajua kuwa majambazi dhidi ya Taifa yapo imara na yana umoja wao wenye nguvu. To hell Tulia na mafisadi anaowatetea.
 
Haya sasa, ndiyo kishazuia hoja za Mpina na kamzuia Mpina mwenyewe kukanyaga bungeni. Mtamfanya nini yule bibi cheusi Mangara a.k.a ngongoti?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Katika mahojiano yake na mwandishi wa Habari Makamu Mwenyekiti NCCR Mageuzi, Joseph Selaasini amesema;

"Mpina aliliona hili, sababu alikuwa akipata upinzani wakati anaongelea suala hili bungeni, sio tu kutoka kwa spika bali hata kutoka kwa wabunge wenzake. Kwa maslahi ya nchi aliona alipeleke hili nje ya bunge sababu ni jambo ambalo linaathiri wananchi.

"Kwa maoni yangu, Spika asizuie jambo hilo, aache wananchi wajadili. Rais Samia ni mtu ambaye amejitabanaisha kukataa rushwa, haiwezekani yeye akatae rushwa halafu watekelezaji wa sera za nchi pamoja na ilani wazuie mambo kama haya yajadaliwe, watakuwa wanaenda kinyume na Rais mwenyewe. Kumuunga mkono Rais hamaniishi kuacha kuibua mianya rushwa, anayesimiama kokote kuibua mianya ya rushwa huyu anakuwa anamuunga mkono Rais. Spika asizuie watu wanaotaka kumsaidia Rais kupambana na rushwa.

"Mpina kama mbunge ana haki ya kuongea Watanzania pamoja na wapiga kura wake. Spika anatakiwa kusimamia jambo hilo kwa namna ambayo wananchi wataona haki ikitetendeka, yaani upande mwingine wapewe nafasi ya kutengeza hoja kinzani na zile alizotoa Ppina. Kumfungia Mpina wananchi wakakaa bila majibu maana yake ni kuwafanya wananchi wakubaliane na Mpina. Hoja haitatuliwi kwa rungu wala nyundo bali ni kwa hoja yenye nguvu zaidi.

"Spika ana haki ya kumpeleka mbunge yoyote katika kamati ya maadili, lakini katika hili mimi kama raia nadhani mahesabu yamepigwa vibaya. Kwa hatua aliyochukuwa maana yake watanzania watachukua upande wa mpina, kilichochokuwa kinatakiwa ni kufanya mjadala ili hoja za mpina ziuawe/kufutwa kwa hoja zenye nguvu zaidi.

"Kumpeleka kwenye kamati ya maadili wananchi wanaona anaonewa na hata mimi pia naona hivyo, sababu kwanini hoja zake hazijibiwi matokeo yake tunaingiza technicalities? Ndio maana hata mahakama iliondoa utaratibu huu, sababu ukishinda kwa technicalities lazima kutokee uonevu sababu unazuia upande mweingine usitoe ushahidi/usisikilizwe.

"Pamoja na Mpina kupelekwa kwenye kamati ya Maadili, tunachotaka Watanzania ni hii hoja ijadiliwe.

"Wito wangu ni kwamba; siingilii maamuzi ya Spika, lakini hoja ya Mpina ijadiliwe."



#KataaMachawa
#KataaUozo2025
====

Pia soma:

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- FULL TEXT: Maelezo ya Ushahidi Wa Luhaga Mpina Kwa Spika Wa Bunge Dkt Tulia Ackson juu ya Waziri Hussein Bashe Kusema Uongo Bungeni kuhusu Sukari

- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
Mijadala itafanyika kule ambako Mpina alipeleka taarifa yake.

Yaani ukiuke utaratibu harafu utake Bunge lijadili jambo ambalo umekiuka? Kwa nini hukufuata utaratibu Ili Bunge lijadili?

Jadilini huko huko Nje alikoesletea Mpina

View: https://www.instagram.com/reel/C8m01XqqWY7/?igsh=MTR4emRyeHk0ZGVrNw==
 
Ajabu wapo wajinga wanaoamini majibu ya hiyo kamati iliyoundwa na Spika.
 

Attachments

  • 20240221_160419.jpg
    20240221_160419.jpg
    59.7 KB · Views: 4
Kwaiyo kutokufuata utaratibu unafuta kesi ya rushwa mbona mnatuchukulia watanzania kama makabrasha ,one day yes
Mpina amefungua kesi Bungeni? 🤣🤣

Acha utoto kama Kuna kesi akafungue kunakohudika.

Mwisho hata huko Mahakamani usipouata utaratibu imekukata
 
Back
Top Bottom