Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hilo ni shina la CCM kama yalivyo mashina mengine.Kama kweli wanamsimamo basi wasingerusha habari yoyote inayomhusu Makonda baada ya kuvamia Clouds siku zile hadi jamaa aombe msamaha. Hamna jukwaa hapo kuna waganga njaa tu.
Wewe uhuru huo ulionao hapo umeufanyia nini zaidi ya kucheza pooltable na kubeti ,na bado unataka uhuru wa kutukana,kwetu kutoa lugha ya matusi ni kosa kisheria na lipo upande wa uvunjifu wa maadili.Sasa una compare marekani na TZ? Unajua kwamba US trump unamtukana live na hakufanyi chochote? Kule ndio kuna uhuru wa habari.
Huku tunataka uhuru wa kusema ukweli ,Ben saanane alijaribu kusema ukweli kuhusu elimu ya "MTU FURANI" kilimchomtokea anajua yeye na Mungu tu.Wewe uhuru huo ulionao hapo umeufanyia nini zaidi ya kucheza pooltable na kubeti ,na bado unataka uhuru wa kutukana,kwetu kutoa lugha ya matusi ni kosa kisheria na lipo upande wa uvunjifu wa maadili.
Waliambiwa na bahresa waondoke wasimpe airtime shoga na kibalaka wa acacia,na ametumwa kuleta uchochezi.Sasa kama haziuzi ilikuwaje team ya azam ilikuwepo pale eneo la tukio na kuanza kurusha ghafla wakatiza matangazo na kufuta yale waliyopost awali? Umejaribu kuona tofauti ya views za lissu na Jiwe za youtube?
kila chama na wafuasi wake, chama cha wajanja na wajinga, nchi ina miaka zaidi ya 50 toka iwe huru huku wanachi hawajui teknolojia then unaendelea kushabikia wanao endelea kupandikiza ujingaJInga kabisa wewe hata hapo ulipo mtaani kwako kuna watu wana vi smartphone lakini hawajui tweeter wala Facebook na jamiiforum, kuna washabiki wa vyama hata kuigia kwenye social network hawana muda alafu wewe unajibaragua hapo.
Deodatus Balile (Makamu mwenyekiti jukwaa la wahariri): Kumetokea jambo wiki hii ambalo limefanywa na mchungaji Peter Msigwa kwenye mkutano alioufanya wiki hii anawaambia wafuasi wa chama chake cha CHADEMA kwamba waandishi wa habari wamesusia mkutano wake pale Iringa nadhani alikuwa anampokea mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu aliyekuwa ameenda kutafuta wadhamini.
Akawahamasisha wananchi wasuse vyombo vya habari, akawauliza kama wana smartphone, watumie mitandao ya kijamii. Sisi hatuna shida na yale aliyoyazungumza kuhusu uhuru wa vyombo vya habari. Uhuru wa kutoa maoni, uhuru wa kusikilizwa hilo hatuna shida.
Shida tuliyoipata ni pale alipowaambia wafuasi wao kwamba wavisuse vyombo vya habari, wazisuse Tv, wayasuse magazeti.
Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Deodatus Balile amewataka wanasiasa kutopambana na vyombo vya habari badala yake vinadi sera zao. Wakianza hivi kidogo kidoko, tuna historia kipindi cha uchaguzi waandishi kupigwa, kuchomewa nyumba. Tusipotoa kauli kukemea kitendo hiki kiovu ambacho ni jinai mwisho wa siku atahamasisha wafuasi wake wawapie kidogo waandishi wa habari.
Sisi hatupo kwenye siasa, hatufanyi siasa isipokuwa tunaandika ukweli juu ya jambo lilitokea. Inawezekana waandishi wa habari hawakwenda kwenye mkutano wake lakini hakutuambia kama aliwaalika au La, tuwe wazi haiwezekani kama tutakuwa kwenye kila mkutano.
Tunaomba wasitumie uwanja wa siasa kupambana na vyombo vya habari, mwaka 2005 Jangwani waandishi wa TBC walipigwa kutokana na uhamasishaji wa viongozi wa kisiasa, Tarime waandishi walipigwa 2010, mwaka 2000 waandishi Zanzibar walipigwa, hatutaki kupigwa kama wawanahari, kazi yetu si kushiriki siasa.
Tutaripoti mikutano yote kwa mujibu wa ratiba itayokuwa imetolewa na tume ya uchaguzi. tutahakikisha vyombo vya habari tutaratibu. Pia iwapo vyama vya siasa vitakuwa na mikutano vihakikishe vinawasiliana na vyombo vya habari kwa sababu sisi si wanachama wa vyama hivi.
Hatutarajii mwanasiasa aanze kuwazungungumza watu, haitusaidii. Sisi vyombo vya habari tutakuwa tuna-monitor ni nani anaezungumza kututoa katika maadui watatu wa nchi hii. Ujinga maradhi na umaskini na tumejipanga kuripoti sera wanazozisema na nasisitiza hatutaripoti matusi.
Hii inaleta shida sana kwenye live coverage, kuna watu wanashutumu televisheni hazitaki kuwapa live coverage. Matusi hayatatuoa hapa tulipo.
=======
Kwa dalili ninazoanza kuziona sasa nadhani nahitaji Kuzidisha tu 'Dua' kwa Mwenyezi Mungu ili Wazee wa Upanga na Oysterbay wasimezwe Kisiasa.
ma kweli mzee wako ni bora ada alokulipia shule angenywea pombe! Sjatukana tusi hata moja lakini wewe unaongea matusi tu, Hebu peleka hilo domo lako chooni unatoa harufu mbaya!Usilazimishe wamuonyeshe kwani anajambo gani alilolifanya la maana,kungea na kulopoka ndio tumpe muda kwenye tv zetu wakati kuna mradi wa umeme mg 2100 utakaotufanya tununue unit kwa tsh 50,na mlivyo wajinga mnataka uhuru wa vyombo vya habari kuelezea watu waandamane,nilipigwa risasi ni wajinga tu ndio watakaoungana na huyu shoga na kibaraka .
Sasa una compare marekani na TZ? Unajua kwamba US trump unamtukana live na hakufanyi chochote? Kule ndio kuna uhuru wa habari.
...🚶🚶🚶... hili jukwaa lilikuwa kimya sana, naona wameamua kuibuka.Balile na Manyerere Jackton aliyegombea CCM kura za maoni Butiama, wanapigaga madili yao pamoja.
Acha ajazie kibubu chake mwaka wa uchaguzi huu.
Weka ushahidi wa hayo matusi na waliyatoa akina nani, Malofa na Mabwege.Wewe uhuru huo ulionao hapo umeufanyia nini zaidi ya kucheza pooltable na kubeti ,na bado unataka uhuru wa kutukana,kwetu kutoa lugha ya matusi ni kosa kisheria na lipo upande wa uvunjifu wa maadili.
...🚶🚶🚶... hili jukwaa lilikuwa kimya sana, naona wameamua kuibuka.
Kauli ya mhariri huyo ama aneshindwa kunyoosha maelezo sawa sawa kwa sababu zile zile za Uhuru wa habari Ila asiwalaumu tunao fikiria kuvisusia vyombo vinavyotoa habari ama kwa upendeleo au maekekezo.Deodatus Balile (Makamu mwenyekiti jukwaa la wahariri): Kumetokea jambo wiki hii ambalo limefanywa na mchungaji Peter Msigwa kwenye mkutano alioufanya wiki hii anawaambia wafuasi wa chama chake cha CHADEMA kwamba waandishi wa habari wamesusia mkutano wake pale Iringa nadhani alikuwa anampokea mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu aliyekuwa ameenda kutafuta wadhamini.
Akawahamasisha wananchi wasuse vyombo vya habari, akawauliza kama wana smartphone, watumie mitandao ya kijamii. Sisi hatuna shida na yale aliyoyazungumza kuhusu uhuru wa vyombo vya habari. Uhuru wa kutoa maoni, uhuru wa kusikilizwa hilo hatuna shida.
Shida tuliyoipata ni pale alipowaambia wafuasi wao kwamba wavisuse vyombo vya habari, wazisuse Tv, wayasuse magazeti.
Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Deodatus Balile amewataka wanasiasa kutopambana na vyombo vya habari badala yake vinadi sera zao. Wakianza hivi kidogo kidoko, tuna historia kipindi cha uchaguzi waandishi kupigwa, kuchomewa nyumba. Tusipotoa kauli kukemea kitendo hiki kiovu ambacho ni jinai mwisho wa siku atahamasisha wafuasi wake wawapie kidogo waandishi wa habari.
Sisi hatupo kwenye siasa, hatufanyi siasa isipokuwa tunaandika ukweli juu ya jambo lilitokea. Inawezekana waandishi wa habari hawakwenda kwenye mkutano wake lakini hakutuambia kama aliwaalika au La, tuwe wazi haiwezekani kama tutakuwa kwenye kila mkutano.
Tunaomba wasitumie uwanja wa siasa kupambana na vyombo vya habari, mwaka 2005 Jangwani waandishi wa TBC walipigwa kutokana na uhamasishaji wa viongozi wa kisiasa, Tarime waandishi walipigwa 2010, mwaka 2000 waandishi Zanzibar walipigwa, hatutaki kupigwa kama wawanahari, kazi yetu si kushiriki siasa.
Tutaripoti mikutano yote kwa mujibu wa ratiba itayokuwa imetolewa na tume ya uchaguzi. tutahakikisha vyombo vya habari tutaratibu. Pia iwapo vyama vya siasa vitakuwa na mikutano vihakikishe vinawasiliana na vyombo vya habari kwa sababu sisi si wanachama wa vyama hivi.
Hatutarajii mwanasiasa aanze kuwazungungumza watu, haitusaidii. Sisi vyombo vya habari tutakuwa tuna-monitor ni nani anaezungumza kututoa katika maadui watatu wa nchi hii. Ujinga maradhi na umaskini na tumejipanga kuripoti sera wanazozisema na nasisitiza hatutaripoti matusi.
Hii inaleta shida sana kwenye live coverage, kuna watu wanashutumu televisheni hazitaki kuwapa live coverage. Matusi hayatatuoa hapa tulipo.
=======
Kwa dalili ninazoanza kuziona sasa nadhani nahitaji Kuzidisha tu 'Dua' kwa Mwenyezi Mungu ili Wazee wa Upanga na Oysterbay wasimezwe Kisiasa.
Hata ukianzisha bado watafungia mawio liko wapi, danzania daima liko wapi, mwanahalisi liko wapi ishu Ni kususia tu wao ndio watakao pata hasaraHiyo ndo hoja kama .kama mwanasiasia anahisi atendwi haki na media basi anzishe vyombo vyake..ili warushe wanachokitaka
Hahaha hiyo haitakiwi kufanyiwa majaribio hata kidogo asije kujikuta yupo na chatu wa CHATTLE pembeni.Mwambie ajaribu tu 'Kumtukana' pia huku Kwetu 'Chato Man' kisha ajue ni kwanini Wimbo wa Taifa hasa wa Tanzania Kwetu haina 'Kolabo' Mkuu.