Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu" ameonekana ofisi za Makao Makuu ya TAKUKURU

Troll JF

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
7,804
Reaction score
12,237
DAR: Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu" ameonekana ofisi za Makao Makuu ya TAKUKURU kwa sababu ambazo bado hazijajulikana.
 
Tokea jana nilisikia habari zake na yeye anachunguzwa na Takukuru. Watoa rushwa wote lazima wanyooshwe.
 
Kaburu fisadi kwenye mpira Long tyme....watu kama hao wakisweka selo wiki tu wanashika adabu maana washazoea wepesi wepesi

Ova
 
Nahisi itakuwa anamfuatilia mdogo wa boss wake ,kaburu ndio meneja mkuu wa CARGOSTAR kampuni ya Dioniz Malinzi ambae ni kaka wa Jamal Malinzi.
 
Sio nae yupo kwenye kashfa ya malinzi?
 
Yule ni kiongozi ndani tff atakuwa ameenda kujua suala LA viongozi wenzie limefikia wapi.
 
Atakuwa ameenda kutoa taarifa za Yanga kumhonga Ngoma na kumsajili wakati tajiri kijana kashasema atamsajili yeye
 
DAR: Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu" ameonekana ofisi za Makao Makuu ya TAKUKURU kwa sababu ambazo bado hazijajulikana.
Tunashukuru kwa taarifa mutoto ya kigaLi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…