Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
Hii kitu huwa inanisumbua kidogo naomba kusaidiwa.
Muda wa Dkt. Mohamed Shein kulikuwa na Makamo wa pili wa Rais Balozi Seif Ally Eid lakini hakukuwa na Makamo wa kwanza wa Rais.
Hivyo hivyo Dkt. Mwinyi keshateua na kumuapisha Makamo wa pili wa Rais ndugu Hemed Suleiman Abdulla.
Je, Makamo wa kwanza wa Rais ni nani?
Muda wa Dkt. Mohamed Shein kulikuwa na Makamo wa pili wa Rais Balozi Seif Ally Eid lakini hakukuwa na Makamo wa kwanza wa Rais.
Hivyo hivyo Dkt. Mwinyi keshateua na kumuapisha Makamo wa pili wa Rais ndugu Hemed Suleiman Abdulla.
Je, Makamo wa kwanza wa Rais ni nani?