Makamu wa kwanza Zanzibar amekiuka kumpongeza mshindi wa urais Zambia. Zanzibar sio dola huru mbele ya uso wa kimataifa

Makamu wa kwanza Zanzibar amekiuka kumpongeza mshindi wa urais Zambia. Zanzibar sio dola huru mbele ya uso wa kimataifa

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.

Kwenye katiba ya JMT, mambo ya nje ni suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.

Kitendo cha Makamu wa Rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act wazalendo ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.

Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola huru bali kuna serikali ya mapinduzi Zanzibar.

IMG_20210818_053215.jpg
 
Mpigie Zitto Luyagwa Kabwe umuulize usikie yeye anasemaje
 
Wana jeshi, bunge, mahakama, serikali yao, nasikia hadi wimbo wa taifa lao wanao sasa kwanini wasijisahau?

Hizo pongezi mbona kitu kidogo sana.
 
Katiba ya Zanzibar inasema Zanzibar ni nchi huru.

Katiba ya Tanganyika ama ya muungano inasema Tanzania ni nchi moja.

Sasa ni nchi gani ziliungana halafu zikawa na katiba 2?

Huu muungano wa kimagumashi usikusumbue kichwa, achana nao.

Huu obvious ni muungano wa asp na tanu, chama kingine kikiingia huu muungano unakufa kifo cha mende asubuhi kabla jua halijachomoza.
 
Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.

Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.

Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.

Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi ZanzibarView attachment 1896415

Bwakum ngesem in yuhu!

Hata kama Zanzibar ingekuwa taifa, yeye ni nani hata atume salaam za pongezi? Hana hadhi hiyo.
 
Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.

Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.

Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.

Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi ZanzibarView attachment 1896415
KIHEREHERE KITAMPONZA. HATA HIVYO, CUF NDIVYO WALIVYO HAWATOSHEKI HATA NA ULAJI WALIOPEWA WA DEZO
 
Bwakum ngesem in yuhu!

Hata kama Zanzibar ingekuwa taifa, yeye ni nani hata atume salaam za pongezi? Hana hadhi hiyo.
Kwani wewe umekatazwa kumpongeza? Ukisikia mtu anamwambia mwenzake ni msengerena basi ujuwe yeye ndiye walewalee!
 
Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.

Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.

Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.

Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi ZanzibarView attachment 1896415
Kiuhalisia mpaka hapa tulipo Zanzibar ni dola huru na taifa kamili kichachoshukilia hoja ya muungano ni uzi mwembamba sana kisiasa
 
kama mlala hoi wa tandale kwa mtogole anampongeza tene kwa nderemo na vifijo kwanini makamu wa rais na awe na kipingamizi cha kumpongeza?
 
Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.

Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.

Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.

Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi ZanzibarView attachment 1896415
mtu yoyote yuko huru kutuma Salaam za pongezi popote kwa kutumia headed paper yake!.
P
 
Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.

Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.

Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.

Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi ZanzibarView attachment 1896415
KATIBA ya TANZANIA Haiheshimiki Tena Wacha Avunje yeye Sio wa Kwanza hata huku Tanzania Bara INAVUNJWA kwa MAKUSUDI TU

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Wana jeshi, bunge, mahakama, serikali yao, nasikia hadi wimbo wa taifa lao wanao sasa kwanini wasijisahau?

Hizo pongezi mbona kitu kidogo sana.
Haa😂😁🤣😃😃
Jeshi Gani Labda La Mkoloni
 
Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.

Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.

Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.

Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi Zanzibar.

Kwani Tanganyika Meungana na kitu gani vile ?
 
Katiba ya Zanzibar inasema Zanzibar ni nchi huru.

Katiba ya Tanganyika ama ya muungano inasema Tanzania ni nchi moja.

Sasa ni nchi gani ziliungana halafu zikawa na katiba 2?

Huu muungano wa kimagumashi usikusumbue kichwa, achana nao.

Huu obvious ni muungano wa asp na tanu, chama kingine kikiingia huu muungano unakufa kifo cha mende asubuhi kabla jua halijachomoza.
Katiba ya zanzibar haijakosea tena na mipka yake hilo jua kabisa na huu muungano utakufa tu ONE DAY YES.
Nyie mungeungana na kenyaaa Ugandaaaa Ruwandaaa au hata Congoo.Hivi visiwa vya majini mutaviacha tu.Othman Masoud katumia haki yake na msomi kushinda weye na familia yako.
 
Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.

Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.

Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.

Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi Zanzibar.

Hajakiuka kitu,yupo sahihi
 
Back
Top Bottom