Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.
Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.
Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.
Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi ZanzibarView attachment 1896415
KIHEREHERE KITAMPONZA. HATA HIVYO, CUF NDIVYO WALIVYO HAWATOSHEKI HATA NA ULAJI WALIOPEWA WA DEZOKwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.
Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.
Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.
Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi ZanzibarView attachment 1896415
Kwani wewe umekatazwa kumpongeza? Ukisikia mtu anamwambia mwenzake ni msengerena basi ujuwe yeye ndiye walewalee!Bwakum ngesem in yuhu!
Hata kama Zanzibar ingekuwa taifa, yeye ni nani hata atume salaam za pongezi? Hana hadhi hiyo.
Mrithi wa kiti Cha uraisi wa ZanzibarBwakum ngesem in yuhu!
Hata kama Zanzibar ingekuwa taifa, yeye ni nani hata atume salaam za pongezi? Hana hadhi hiyo.
Kiuhalisia mpaka hapa tulipo Zanzibar ni dola huru na taifa kamili kichachoshukilia hoja ya muungano ni uzi mwembamba sana kisiasaKwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.
Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.
Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.
Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi ZanzibarView attachment 1896415
mtu yoyote yuko huru kutuma Salaam za pongezi popote kwa kutumia headed paper yake!.Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.
Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.
Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.
Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi ZanzibarView attachment 1896415
KATIBA ya TANZANIA Haiheshimiki Tena Wacha Avunje yeye Sio wa Kwanza hata huku Tanzania Bara INAVUNJWA kwa MAKUSUDI TUKwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.
Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.
Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.
Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi ZanzibarView attachment 1896415
Mkuu, naona we' bado umelala! Mbona unawasingizia wasio husika?KIHEREHERE KITAMPONZA. HATA HIVYO, CUF NDIVYO WALIVYO HAWATOSHEKI HATA NA ULAJI WALIOPEWA WA DEZO
Haaπππ€£ππWana jeshi, bunge, mahakama, serikali yao, nasikia hadi wimbo wa taifa lao wanao sasa kwanini wasijisahau?
Hizo pongezi mbona kitu kidogo sana.
Kwani Tanganyika Meungana na kitu gani vile ?Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.
Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.
Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.
Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi Zanzibar.
Katiba ya zanzibar haijakosea tena na mipka yake hilo jua kabisa na huu muungano utakufa tu ONE DAY YES.Katiba ya Zanzibar inasema Zanzibar ni nchi huru.
Katiba ya Tanganyika ama ya muungano inasema Tanzania ni nchi moja.
Sasa ni nchi gani ziliungana halafu zikawa na katiba 2?
Huu muungano wa kimagumashi usikusumbue kichwa, achana nao.
Huu obvious ni muungano wa asp na tanu, chama kingine kikiingia huu muungano unakufa kifo cha mende asubuhi kabla jua halijachomoza.
Hajakiuka kitu,yupo sahihiKwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.
Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.
Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.
Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi Zanzibar.