Makamu wa Rais anaweza kukataza chochote Tanzania?

Makamu wa Rais anaweza kukataza chochote Tanzania?

1. Hire and fire... sidhani kama anaweza
2. Kutoa amri... sijui
leo mpango katoa amri,sidhani kama atasikilizwa, kuna kipindi wakati wa jiwe kuna jamaa alimpuuza PM majaliwa wakati ule sasa imagine sasa kama Mpango atasikilizwa
 
Huyu anasahau mamlaka yake, hilo swala ipo siku watamgongesha na lori afu afe
 
[emoji23]nimemkumbuka yule Mzee ghalib bilal, hicho cheo hakina power ukijumlisha na upole wa yule father basi alikuwa kama mwenyekiti wa kijiji
ghalib kilichomponza msimamo juu ya Zanzibar ,huyu tuliyenae Alikua mhasibu wetu mkuu enzi za kizungumkuti
 
Back
Top Bottom