😂nimemkumbuka yule Mzee ghalib bilal, hicho cheo hakina power ukijumlisha na upole wa yule father basi alikuwa kama mwenyekiti wa kijijiKAZI yake kupanda miti hayo mengine lazima akaombe kwamama akazie
leo mpango katoa amri,sidhani kama atasikilizwa, kuna kipindi wakati wa jiwe kuna jamaa alimpuuza PM majaliwa wakati ule sasa imagine sasa kama Mpango atasikilizwa1. Hire and fire... sidhani kama anaweza
2. Kutoa amri... sijui
Haiwezekani,anakataa vip hajaamka Arusha Barbara zimefungwa Moshi ,kufungwa kwa 30minutes "ruksa'Huyu anasahau mamlaka yake, hilo swala ipo siku watamgongesha na lori afu afe
ghalib kilichomponza msimamo juu ya Zanzibar ,huyu tuliyenae Alikua mhasibu wetu mkuu enzi za kizungumkuti[emoji23]nimemkumbuka yule Mzee ghalib bilal, hicho cheo hakina power ukijumlisha na upole wa yule father basi alikuwa kama mwenyekiti wa kijiji
hiki cheo kitolewe tu Mkuu, tubaki na PM ambaye ikitokea Rais kafa basi PM achukue ofisi, ofisi ya vice president inakula pesa sana kuiendeshaghalib kilichomponza msimamo juu ya Zanzibar ,huyu tuliyenae Alikua mhasibu wetu mkuu enzi za kizungumkuti
Haya si maneno ya hekima kabisa ndugu yangu.🙏🙏🙏Huyu anasahau mamlaka yake, hilo swala ipo siku watamgongesha na lori afu afe