Makamu wa Rais Dkt. Mpango amtembelea Mjane Janeth Magufuli

Ndio muende na nyinyi wasukuma mkampe pole
 
Yule mtoto hajawahi kuonekana, kwani hata hospital kwenyewe kipindi amejifungua tyuuh, hakuruhusiwa yeyote kumuona hata mumewe, ila jiwe alienda na Ali ruhusiwa kumuona. Heeeh

Ila amepotea ghafla San ktk ulimwengu wa siasa lol.
Kama hata mume hakuruhusiwa kumuona mtoto ina maana walishaachana au? Maana kama bado wanaishi pamoja imekuwaje asimuone mtoto.
 
Aliyempendekeza awe makamu wa rais ana walakini
 
It is okay and human. I notice; there is some social distance between the two.
 
Kama hata mume hakuruhusiwa kumuona mtoto ina maana walishaachana au? Maana kama bado wanaishi pamoja imekuwaje asimuone mtoto.
Nimesema hospital wakati pindi alipojifungua, kabla ya kupewa ruhusa ya kurudi nyumbani, kuwa muelewa.
 
Mama amenawiri moyo una amani sana..
Ametakata kipindi fupi hivi kweli alinyanyasikaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…