Makamu wa Rais, Dr. Mpango awataka TRA wasiwababaishe Wafanyabiashara, atoa salamu za Rais Samia kwa Kanisa!

Makamu wa Rais, Dr. Mpango awataka TRA wasiwababaishe Wafanyabiashara, atoa salamu za Rais Samia kwa Kanisa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Makamu wa Rais Dr Mpango amesema TRA wanapaswa kuwalinda wafanyabiashara na kuhakikisha biashara zao zinagrow badala ya kuwababaisha na kuwavuruga.
Dr Mpango ameahidi kufuatilia kwa karibu ustawi wa wafanyabiashara.

Kadhalika makamu wa Rais Dr Mpango amewapa wanaparokia wenzake salamu za Pasaka kutoka kwa Rais Samia ambaye ameahidi kusimamia uhuru wa kuabudu na kuhakikisha amani inakuwepo wakati wote.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom