Makamu wa Rais Kenya atimuka mbio kuwalaki mashujaa

Makamu wa Rais Kenya atimuka mbio kuwalaki mashujaa

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
qvci07nwpqlyd55e5471c6387d.png

Deputy President William Ruto running to receive the returning Kenyan athletes (Photo: Courtesy)

ozkadw6cxgpyfcf55e54731d902d.png


ghsxmf5jsns6ifoh55e54742993dd.png




apinklabw8epwbsxg55e5475997dfd.png



mhwj94orgjst7fmj55e5476d7197d.png





Standard Digital News : : GameYetu - Photos: Grand welcome for World beating champions
 
Miaka ile haya mambo ya kupata heshima za wanamichezo duniani yalikuwepo. Siku hizi imebaki hadithi tuu.
Lililopo ni kupiga picha na kina Shilole na Diamond na
kuhesabu kuwa ni mafanikio
 

Attachments

  • 1441096238237.jpg
    1441096238237.jpg
    40 KB · Views: 467
Hahaha Ruto kweli leo amefurahi, ukilinganisha na juzi walivyotupiana maneno na mwenzake Isaac kule Bomet.
 
wanamichezo na wasanii wa tz hufanyiwa party kila uchaguzi ukifika.
 
Watanzania kitu akifanya kiongozi wao wanakandia, akifanya kiongozi wa nchi nyingine wanamsifia...
 
Aisayee... MK254 HEBU TMTUPE KaMEDALi kamoja..!!! HONGERA KENYA , Hongera Jirani wa kudumu, tutajifunza mengi kwenu!!!
 
Last edited by a moderator:
Filbert Bayi 'aliondoka' na mbio zetu...katuacha yatima.
THE Hero and the CHAMPION F.Bayi walimkwamisha na kumdai USHURU kwa zawadi alizoshinda, aliporejea ktk Mashindano ya mbio!! POLE kwa wote.....
 
Eti hotbed of medals, Wakenya kwa vijembe....lol!
 
Back
Top Bottom