Naunga mkono hoja, ampokee!.Huyu Mama yuko strong kwa uhalisia;
TAZAMA:
- Aliongoza vizuri sana Bunge la katiba.
- Amekuwa anawakilisha vizuri taifa kwenye forums za kimataifa za wakuu wa nchi.
- Anamwakilisha vizuri raisi kwenye mbalimbali yanayomshinda kwa sababu mbalimbali.
- Kipindi hiki janga la korona hajaonekana kutafuta execuses, anapambana na majukumu kiofisi - ofisini kama kawaida.
Mkuu, napata hisia kwamba ume comment kwa hasira kutoka Moyoni kabisa.Naunga mkono hoja, ampokee!.
P
Kutokana na kutoswa kila teuzi zinapotakiwa!!!!Mkuu, napata hisia kwamba ume comment kwa hasira kutoka Moyoni kabisa.
Yani nyie wasukuma sijui mtaambia nini watu! Siyo Gwajima, siyo Makonda na mbaya zaidi baba lao Magufuli. Sasa tuwaamini tena kwa lipi? Sema mwenyewe kama tunawaoneeni.Naunga mkono hoja, ampokee!.
P
Mgonjwa wa macho hahhhMkuu, napata hisia kwamba ume comment kwa hasira kutoka Moyoni kabisa.
Bado unadhihirisha CCM inatakiwa kuendelea kuongozaHuyu Mama yuko strong kwa uhalisia;
TAZAMA:
- Aliongoza vizuri sana Bunge la katiba.
- Amekuwa anawakilisha vizuri taifa kwenye forums za kimataifa za wakuu wa nchi.
- Anamwakilisha vizuri raisi kwenye mbalimbali yanayomshinda kwa sababu mbalimbali.
- Kipindi hiki janga la korona hajaonekana kutafuta execuses, anapambana na majukumu kiofisi - ofisini kama kawaida.
Vipi na wewe pia ni Mtaalamu wa graphology, unasoma maandishi unakijua kilicho moyoni kwa mwandishi?.Mkuu, napata hisia kwamba ume comment kwa hasira kutoka Moyoni kabisa.
Hilo pia ni kati ya maeneo yangu mkuu. Huwa nasoma hadi maandishi na miandiko. Kuna mambo huwa sufanyi na mtu hadi nione maandishi yake, wengine hadi nione miandiko yao.Vipi na wewe pia ni Mtaalamu wa graphology, unasoma maandishi unakijua kilicho moyoni kwa mwandishi?.
P
Ikipendeza 2020 July achukue form na CC wampitishe kama mgombea.Naunga mkono hoja, ampokee!.
P
Duh...!, Mkuu wewe kama sio, ulipaswa kuwa ni mtu wa kule!.Hilo pia ni kati ya maeneo yangu mkuu. Huwa nasoma hadi maandishi na miandiko. Kuna mambo huwa sufanyi na mtu hadi nione maandishi yake, wengine hadi nione miandiko yao.
Soma bandiko hili uone nilishauri nini!Ikipendeza 2020 July achukue form na CC wampitishe kama mgombea.
Kuna ukweli lakini!!!Vipi na wewe pia ni Mtaalamu wa graphology, unasoma maandishi unakijua kilicho moyoni kwa mwandishi?.
P
Ampokee???Naunga mkono hoja, ampokee!.
P
Kule mimi hakunifai kabisa mkuu. Kilimo cha nyanya na vitunguu huku Mbuyuni naona kinanitosha sana.Duh...!, Mkuu wewe kama sio, ulipaswa kuwa ni mtu wa kule!.
P