Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Kheee heeee heeee!Makamu wa Rais Shein is the Best in Leadership..
I kinda like Shein.....yaani hata nikimwangalia sipati vi feeling vya yeye kuwa fisadi fisadi (I know I could be wrong but that's the vibe I get)
sawa ni mpole nakubali, lakini is he effective as a leader? Mimi mpaka sasa hivi sijaona anachofanya au alichofanya kikubwa hata akiondoka tutamkumbuka/ I mean utendaji wenye impact kama vile wa akina Sokoine, Mrema, Magufuli na hata Lowassa (unfortunately)! TZ ni kweli tunahitaji kiongozi asiye na makuu kama Shein, but frankly we still need more than that!
Nimechungulia kwenye katiba nikakuta kazi za makamo wa rais wa tanzania kama ifuatavyo
a)assist the president in making a follow up on the day to day implementation of union matter.
b)perform all duties assigned to him by the president
c)perform all duties and functions of office of president when the president is out of office or out of the country.
back to you mkuu:utendaji wa makamo wa rais unaoutaka ufanane na wa sokoine,magufuli,mrema nk uko katika kipengele gani katika hiyo orodha ya kazi zake?Kila wakati tunamuona anakata utepe kuzindua miradi labda ndiyo kazi alizopangiwa na rais,huoni kwamba huyu mtu labda hatumiki vizuri hivyo kufanya ashindwe kuonyesha uwezo wake?
Nimechungulia kwenye katiba nikakuta kazi za makamo wa rais wa tanzania kama ifuatavyo
a)assist the president in making a follow up on the day to day implementation of union matter.
b)perform all duties assigned to him by the president
c)perform all duties and functions of office of president when the president is out of office or out of the country.
back to you mkuu:utendaji wa makamo wa rais unaoutaka ufanane na wa sokoine,magufuli,mrema nk uko katika kipengele gani katika hiyo orodha ya kazi zake?Kila wakati tunamuona anakata utepe kuzindua miradi labda ndiyo kazi alizopangiwa na rais,huoni kwamba huyu mtu labda hatumiki vizuri hivyo kufanya ashindwe kuonyesha uwezo wake?
Anatakiwa kuwa mbunifu. Yeye ni zaidi ya mawaziri na ni zaidi hata ya waziri mkuu! Kama unaweza kufikia cheo cha juu hivyo halafu unasubiri kuambiwa cha kufanya na mkuu wako wa kazi then kuna tatizo ndani ya "bongo za miafrika" au kwenye mfumo mzima wa uongozi wa nchi zetu.
Katinba haimzuii kulivalia njuga suala moja kubwa kama ufisadi, mauaji ya albino, elimu, matumizi ya serikali, etc.
Jamani,
Hivi mlikuwa mnamjua Dr Omar au mnasema tu? JK is much better kuliko wote hawa.
1) Nitaanza na Dr. Omar, kama kweli yeye alikuwa mtu wa watu kama mnavyotuambia mnajua ni gharama kiasi gani alizokuwa analiletea taifa? yaani kila weekenda lazima akalale Pemba kumbuka ni gharama gani za yeye na wapambe wake wote kwenda nao huko kila weekend? Huyu jamaa alikuwa ni mbabe kuliko hata Mkapa, kumbukeni hata hotuba zake akiwa waziri kiongozi.
2) shein, ni dhaifu na wala hana ushauri wala msaada wowote ndo maana hata JK hana muda naye hilo wengi naona hamlihui, akipewa nchi tutarudi nyuma kuliko hata nchi ilvyochuchumaa wakati wa Myinyi. tuombe Mungu asituiletee hii balaa jamaa hamna kitu kichwani ndo maana mnaona huu upole, ambao ni sababu ya pumba kujaa kichwani