Makamu wa Rais TFF Michael Wambura aripoti ofisini kuanza kazi

Wambura ana kesi ingine ya kupeleka masuala ya Mpira wa miguu mahakamani adhabu yake ni kufungiwa na FIFA maisha. Pia Tff yao waliyokuwa wamezoea kama ya akina Rage na Ndolanga ya marushwa rushwa hawezi kufiti tena kwenye Tff ya sasa ambayo haina upigaji.

Ukifungiwa na TFF huwezi rudishwa na mahakama za kiraia bali makama ya au CECAFA, au CAF, AU fifa wenyewe huyu Wambura asijifanye zuzu.
 
Hakuna kilicho juu ya mahakama , hii ndio raha ya sheria .
 
kesi yake kisheria ilikua lazima aende mahakama ya nchi.
Mpira/Football/Kandanda/soccer/kabumbu una wenyewe.Wenyewe hao ni TFF,CECAFA,CAF na FIFA.Mike anajua angekata rufaa kwenye vyombo vya mpira angeshindwa akaenda mahakama za kawaida.Hawezi rudi TFF sababu itapingana na taratibu za FIFA wenye mpira wao ama sivyo tuwe na mpira wetu
 
mkuu kwani FBI ni watu wa FIFA? mbona walisaidia kumng'oa blater

labda mimi ndio sielewi, em toa ufafanuzi.
 
mkuu kwani FBI ni watu wa FIFA? mbona walisaidia kumng'oa blater

labda mimi ndio sielewi, em toa ufafanuzi.
Hata Bongo kwenye jinai hata FIFA hatahusika.Ila migogoro ya aina ya huu unaomhusu mike na tff,fifa inahusika moja kwa moja.
 
Tff ya Karia ni ya ovyo kuwahi kutokea ktk nchi hii. Huyo Wambura naye Kaongoza Tff zamani Fat kama katibu mkuu, kaongoza Simba hakuna lolote alilofanya,kwa nn asiachie wengine tuone nao watafanya nini?
 
Kwa kweli mwanachama yeyote wa Simba akiingia Tff wanakuwa bias sana na hawana aibu
 
Huo ujinga aliuanzisha Sep Blatter ili aendelee kuipiga FIFA, kwa kua alikua anafaidisha wakubwa wakawa hata maamuzi yake yakivunja sheria za nchi wanamfumbia macho, aliporikoroga unajua kilichomkuta.

Pamoja na yote sheria za nchi zilizoko kwenye katiba ndio msingi, sheria za Tff haziwezi kuvunja sheria za nchi, chombo cha mwisho cha kutoa maamuzi yoyote hasa panapovunjwa sheria za nchi ni mahakama na sio FIFA wala TFF.

Wambura bado ataendelea kua makamo wa rais hadi muda wake upite au vinginevyo.
 
kuna kiongozi enzi za tff aliwahi kutangaza kuifuta toto au pamba nadhani siku zanyuma baada yakupeleka masuala yamichezo mahakamani.sikumbuki alikuwa nani,anayekumbuka pls
 
Wambura chapa kazi.

TFF angalieni hizo hukumu za gaidi Mbwelezeni. Sheria kasomea nchi gani?

Naona huwa anakurupuka kila wakati. Atumie akili japo robo tu.
Mpuuzi kabisa huyo rais na bodi yake wameahindwa kishawishi hata kampuni kudhamini ligi kuuu wanaanza kudili na wambura waache ungese kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…