Makamu wa Rais wa Kenya William Ruto anunua mbuzi 1,000 kwenye mnada

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Wadau
Mh William Ruto ambaye ni Makamu wa Rais wa Kenya hivi karibuni akiwa kwenye mnada wa mbuzi wa Kimalel amenunua jumla ya mbuzi 1,000 kwa gharama za Kshs 12 millioni.
Source: KTN News
 
lengo lako sijalielewa ila naweza kulielewa kwa njia hii moja ya principal ya democracy ni transparent and accountability
 
Kipindi cha nyuma tulikuwa tunasikia viongozi wakigawa mbuzi kama zawadi ya sikukuu kama hii inayokuja. Labda naye afuata nyayo hizo.
 
Heshima boss?.

Mbona mada yako umeivisha nguo sana?. Lengo haswa la ununuzi wa mbuzi wote hao ni nini?.
 
Jombaa unapendaga kuleta habari nusunusu kweli
 
Kila mwaka ikifika desemba, tangia enzi za Moi, kule Kimalel wanakosema ndo kuna mbuzi wenye nyama tamu kabisa, huwa wanafanya 'auction'. Kimalel Goat auction. Wakulima wote huwa wanapeleka mbuzi wao mnandani afu wanauzwa kisha hela wanagawana wenyewe. Mwaka uliopita ilikuwa ni watu mashuhuri wanashindana kununua mbuzi. Afu ni lazima mbuzi wote mnadani wanunuliwe. Hapo usishangae kusikia kuna mbuzi aliyeuzwa kwa bei ya Kshs 100,000. Desemba njema sana kwa wakulima wa Kimalel, Baringo County.
 
mwambie aje kariobangi wiki ijayo nimuuzie mbuzi wangu 600 napeleka mnadani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…